ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
maanake unavosema kama vile kuna CBD mpya 😂😂😂😂Nilijua utakwepa swali![]()
maanake unavosema kama vile kuna CBD mpya 😂😂😂😂Nilijua utakwepa swali![]()
So despareteWatanzania ni kama watoto. Wanatekenywa kidogo washa cheka. Juzi waliambiwa eti wako na best sidewalks kwa twitter na Mkenya wakaja na twit yenyewe hapa mbio.
fact: Kenya has the best sidewalks in east and central Africa. Only, Kenyans are never contended. They always want more. That is they criticize even the best.
View attachment 1543909
View attachment 1543913


Desparation will never leave this man from ushagoo...Kenya Slum upgrade. They are slowly becoming better than Dar es Salaam CBD.
View attachment 1543920View attachment 1543921View attachment 1543922






That is economics comment like it....because of distabance automatic supply will form new equilibriumKwasababu gharama za usafirishaji zimepungua, maana yake wafanyabiasha watasafirisha bidhaa nyingi zaidi, hivyo supply itakuwa kubwa zaidi kuliko ilivyokua awali, demand itashuka kwahiyo price itashuka.
Huijui mombasa wewemaanake unavosema kama vile kuna CBD mpya![]()

na wala sio mara ya kwanza kukamatwa katika mswala hayaHivi mmeshawalipa madaktari au umejikuta umechanganyikiwa tu.Huijui mombasa wewena wala sio mara ya kwanza kukamatwa katika mswala haya
Kaulize nairobi county, huku wenzao wameshalipwaHivi mmeshawalipa madaktari au umejikuta umechanganyikiwa tu.
hehehehe kweli enhh😀😀😀😀Huijui mombasa wewena wala sio mara ya kwanza kukamatwa katika mswala haya
walipwe wapi??😀😀😀 majanga juu ya majangaKaulize nairobi county, huku wenzao wameshalipwa
Kwn unadhani komora hakujui sema jeuri tuu


Palm village, Mikocheni.
View attachment 1544185