Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.

Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
tatizo annael uliondoka bila kuaga ikabidi kijiti cha uenyekiti nichukue mm huku katibu mkuu akiwa geza 😀😀😀😀
 
Soko Mtwara Mkindani

IMG_5084.jpg
 
Karibu mkuu,tunakupongeza kwa Uzi huu,umetufumbua macho sana.umetusaidia kuondoa dhana tuliokuwa tunaaminishwa kwamba Hawa wako juu kutuliko,heko Sana na karibu tena!
Ngoja mod wakupige ban huyo nyani wa kibera aliye chafuka na kinyesi alisha katazwa humu baada ya wakenya kulalamika kwa mod, labda unge mpost na kumuwekea hata kajibendera ka marekani kidogo wakenya wangefarijika , njoja niwaite wakenya waje kuona hiyo nyani MK254 Tony254 komora096
 
Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.

Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
Hahahaa!!Annael, ulikua wapi bana mkuu
 
Guys look at this,this is down town Nairobi I got this somewhere in YouTube,...ndugu zangu watanzania mcheki hio video then Bila unafiki tutoe marks

wakija hapa wanatusumbua wanakelele kinoma,,,,,kumbe jiji lenyewe in reality ni bayaa yaani limechakaa ni chafu ,,,wakija na aerial view zenye make up

mkuu umewavua nairobi ni vituko na hizo nganya zao
 
Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.

Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
welcom back broo,,,,,
 
Back
Top Bottom