Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimechukua muda? 😂😂😂😂😂 naongea kiingereza kama niongeavyo Kiswahili. Sio tatizo kwangu kabisa. Anyways....hauna jibu la muhimu so dawa imekuingia vilivyo. Pole kwako.
nilitaka unijibu kwa kingireza, kumbe bado uko chini sana, magu awasaidie
 
Guys look at this,this is down town Nairobi I got this somewhere in YouTube,...ndugu zangu watanzania mcheki hio video then Bila unafiki tutoe marks



Watu tunakaba hadi lane za magari on different Direction.


IMG_0717.jpg
 
Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.

Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
mbaya zaid jana rais wao katoa BOKO lingine kuhusu covid 19,anasema wakenya sasa wajiachie.

trump kabla hajapoa akatia kadi ya njano kwa raia wake kenya si salama kwa ugonjwa wa corona
 
Guys. Nimerudi sasa humu.
Tangu tuanze kupambana na hawa jamaa. Naona sasa wamelegea.

Nimekaa huko kwa muda. Nimeyaona mengi na kuyajua. Tumewapita mbali sana. Wakenya wanashida mno.
Karibu mkuu,tunakupongeza kwa Uzi huu,umetufumbua macho sana.umetusaidia kuondoa dhana tuliokuwa tunaaminishwa kwamba Hawa jamaa wako juu kutuliko,heko Sana na karibu tena!
 
Back
Top Bottom