Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FD2A2EF7-0B36-495F-804A-B27E5FD67078.jpeg
 
You will never find any industrial area like the one you are posting here in Dar es Salaam. A whole stretch from JKIA TO ATHIRIVER TO MACHAKOS TO ISINYA. All those are factories. I think you must BE insane.
View attachment 1532397
🤣🤣😂😂😂😂😂 I see slums everywhere not a single industry here
Screenshot_20200806-141038~2.png
 
hii kitu nimeona mchana, imenichekesha sana.. yani Kenya imeruhusu raia wa USA kuingia kwao.. ila USA wanawaona kenya ni sehem hatar kutembelea.. meanwhile kenya wametufungia Tanzania , ila pia USA wameturuhusu sisi kwenda kwao





Surprisingly, whatever happens to them or against them, they benchmark with Tanzania!
 
Kidole cha kati hicho...
Wao wanaona sisi kuwa na misimamo wetu kwa kujiamlia mambo,wanatufanya wajinga,Nyerere aliona mbali kwa hawa wazungu kwamba sio watu wazuri.Funny enough,walikuwa wakiwasifia jinsi wanatoa updates,Sasa hivi wamewageuka na kuanza kuwanyanyapaa,alafu,balozi wa marekani alisema Tanzania is safe, yaani,wakenya wasipojifunza kwa hili,na kuacha kutawaliwa na wazungu,ndio Basi tena.
 
Wao wanaona sisi kuwa na misimamo wetu kwa kujiamlia mambo,wanatufanya wajinga,Nyerere aliona mbali kwa hawa wazungu kwamba sio watu wazuri.Funny enough,walikuwa wakiwasifia jinsi wanatoa updates,Sasa hivi wamewageuka na kuanza kuwanyanyapaa,alafu,balozi wa marekani alisema Tanzania is safe, yaani,wakenya wasipojifunza kwa hili,na kuacha kutawaliwa na wazungu,ndio Basi tena.

Ujue wamarekani nawafananisha na WAJUMBE...yaani wamemsifia mkenya kuwa endelea kutoa takwimu za virusi tuko pamoja na ww..we twanga takwimu za uongo tutasimama na ww... imefika Mkenya anataka kurusha ndege zake..Mmarekani a.k.a MJUMBE uyo kapenya..anakwambia nyie mna virusi vingi tulieni uko uko hatutaki shobo..
 
Ujue wamarekani nawafananisha na WAJUMBE...yaani wamemsifia mkenya kuwa endelea kutoa takwimu za virusi tuko pamoja na ww..we twanga takwimu za uongo tutasimama na ww... imefika Mkenya anataka kurusha ndege zake..Mmarekani a.k.a MJUMBE uyo kapenya..anakwambia nyie mna virusi vingi tulieni uko uko hatutaki shobo..
Dah,la WAJUMBE baba,acha kabisa😅😅
 
Back
Top Bottom