President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Umepima korona kweli!?Sasa uone vipi na umezoea!?
Umepima korona kweli!?Sasa uone vipi na umezoea!?
Tell that to yourself. A dweller of the leading slum hub in the entire continent.Sasa uone vipi na umezoea!?
Kamulize uhuru atakujibWapi Bagamoyo!?
Nenda upper hill ukikosa machinga njoo nikuonyezh wanapo patikan tena wanalal hapohap....
Sasa kipi safi hapo!? Dar yote ni Slum kweli
View attachment 1530944
Angalia maana ya usafi Nairobi Kenya.
Ukitaka uchafu Nairobi enda Kibera sio CBD
View attachment 1530945View attachment 1530946View attachment 1530948
View attachment 1531056Wazee wa cheap staffbarabara kama hii ipo kenya, zambia na hapa Nigeria
View attachment 1530988
Kenya
View attachment 1530989
Zambia
View attachment 1530990




So desparate ....so BRT , pedestrian is slum according to kunyaDar es Salaam huwezi danganya. Sio kama Nairobi utajaribu kuokota vipicha hata vya 1980 udanganye. Dar hakuna mahali haina Slum. Ona tu hata kwa hii, yenu wenyewe mmepost.
View attachment 1530994




Cheap thing



Ndo maana sitakagi kuwaquote, uwezo wenu mdogo sana huwezi kuelewaVinavyokuja mambo gani. Miaka tano treni hamjaiona!!!! Hata stesheni pekee haijaisha, nyinyi lakini mna matatizo!??? Bado mnaimba tu, yanayokuja!!! Hii CCM ni kama iliwaendea kwa mchawi. Hata mkiambiwa ukweli. Sasa hivi mtu akienda kwenye stesheni ya kura anatafuta tu alama ya CCM. CCM NDIO ILIWAZAMISHA KIUCHUMI NA ITAWAANGAMIZA MTOKOMEE. FUNGUENI MACHO MTAFAKARI. NYINYI NI WATU SI SIZIMIZI
Sometime its wise to stay shut.....rather than being potrayed a foolDar es Salaam huwezi danganya. Sio kama Nairobi utajaribu kuokota vipicha hata vya 1980 udanganye. Dar hakuna mahali haina Slum. Ona tu hata kwa hii, yenu wenyewe mmepost.
View attachment 1530994
Ni wazi kabisa kwamba mnajua potential ya Tz ni CCM na uongozi wake madhubuti chini ya JPM,hapa unajaribu kuturubuni ili tisiipigie kura keshokutwa.......Magu ni 5tena...na barua yenu ya msiba ni lazima ifike Kunyaland.Vinavyokuja mambo gani. Miaka tano treni hamjaiona!!!! Hata stesheni pekee haijaisha, nyinyi lakini mna matatizo!??? Bado mnaimba tu, yanayokuja!!! Hii CCM ni kama iliwaendea kwa mchawi. Hata mkiambiwa ukweli. Sasa hivi mtu akienda kwenye stesheni ya kura anatafuta tu alama ya CCM. CCM NDIO ILIWAZAMISHA KIUCHUMI NA ITAWAANGAMIZA MTOKOMEE. FUNGUENI MACHO MTAFAKARI. NYINYI NI WATU SI SIZIMIZI
Sasa wewe nkt! Umeona dar hapo?This is Tokyo .....some folks here would tell you ....the entire city is a slum ....and in terms of scale it’s smaller than Kilimani.....
View attachment 1531015
Kila akiona mikusanyiko ya watu kwake ni slum,Uko desperate sana. Mimi sioni slum hapo
We miss Kibera janerose umenielewa mpnz?Tafuta kibibi huko Uswazini kwenu msaidiane umbea

Hili la kuminya taarifa za COVID-19 hapa Tz sijawahi kuona faida yake.tunajua katika 100 watakaopata 81 hawataonyesha dalili zozote ,14 wataugua na kupona na 6 ndio wanaweza kupoteza maisha au kupata severe attack lakini kuminya info ili mambo yaonekane yameisha ni upuuziCha kushangaza,hili sakata la ndege,niupande mmoja tu unabweka,upande huu wa bongo ni kimyaaa!!!
Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says
KQ ni ndege ya mabeberu,,mabeberu nao wanataka kazi ..hapo ndo shida inaanzia..sisi tuko tuu tunapiga mluzi tuu.Cha kushangaza,hili sakata la ndege,niupande mmoja tu unabweka,upande huu wa bongo ni kimyaaa!!!
Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says