Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Nairobi, simple and elegant
The summary of Nairobi, chaotic and dirty place, a place with no order., a wicked and wretchedMichuki Park with Nairobi River. Looking clean. View attachment 1530200View attachment 1530201
Naona skywalk imeanza kujengwa🔥🔥
Ndio maana mambo kama haya yanatokea,Vitu kama hivi hufanyika pekee hapa Tanzania kwenye ukanda wa East Africa wakati kule kenya ligi inaisha halafu timu inaendelea kudai zawadi ya msimu uliopita.
Gor Mahia: We have not been paid by KPL for winning 2018 title
Na kila mchezaji wa kenya anapenda angalau apate nafasi ya kucheza ligi kuu ya Tanzania,
Unakataa Nini Sasa,ona hapa,Benpol kampiga mimba dada dada mwenzenu, Diamond platinumz kafanya Mambo kwa Tanasha,Ali kiba,kamaliza kazi kule Mombasa,Sasa unaanzaje kukataa kwamba Sisi sio vidume!? Hata wewe tunakuchora tu,muda ukifika,tutakupiga mimba juu wanaume wenu ni impotence!Eti Watz vidume dada over my dead body.
Wametafuna miraa mpaka yamekua mahanidhi,hayawezi kazi yanasababisha wanawake zao wake kutusumbua humu.Hawa nyang'au wangekua wanafanya kazi yao ipasavyo wanawake zao wasingekua na dharau namna hii, manyang'au yanatuangusha sana
vitu kama hivi wana kuaga vipofu ghafula.
Wala Makonda asikupe pressure! Anafaa,na uwezo mzuri,alafu hongera Sana kwa kufuatilia bongo news.Alaaa!!lkn kenya mkikuyu akipewa uwaziri ndio ukabila sio
Sasawa, lkn ujue kuna msukuma kakosa ubunge na inavyoonekana anaandaliwa safu ya uwaziri karibuni