Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20200805_220158_198.JPG
 
Hivi KQ bado wamepigwa kabali hakuna kutua TZ eeh..hawa jamaa wameingia kwnye Kumi na nane wenyewe...yaani wametishia kujamba, wazee tumekunya kabisa.

Yaani unampigia JPM alafu haupatikani, Kama navyoona Wakenya Roho zinavyo wauma wakiona Rwanda Air na Ethiopia inavyo vuna tu abiria wanaokuja TZ kutoka Kenya...Kimya Kimya namsikia Kagame jaman JPM shikiria apo apo nipate abiria

Wakenya mnatishia kujamba kumbe mnaharisha yaani aibuuu... mnaliua wenyewe shirika lenu kwa Roho mbaya zenu kama kisu cha Ngariba, Alafu uku sisi midege ya watalii inazidi kushuka, na kwa style hii imeonesha Hatuitaji KQ, mlikuwa mnahujumu hadi watalii wetu...ona foleni za ndege KIA na Julius Nyerere, jana KIA kuna mshikaji wngu anasema ndege zilishuka mpaka wakasema watakosa parking maana imevunja record ya kitaifa kupokea ndege kwa mpigo kiasi kile. Kenya ukiyataka ya POPO sharti ujue kuning’inia
Inabidi watulie ili mimba iingie vizuri.
 
Hivi KQ bado wamepigwa kabali hakuna kutua TZ eeh..hawa jamaa wameingia kwnye Kumi na nane wenyewe...yaani wametishia kujamba, wazee tumekunya kabisa.

Yaani unampigia JPM alafu haupatikani, Kama navyoona Wakenya Roho zinavyo wauma wakiona Rwanda Air na Ethiopia inavyo vuna tu abiria wanaokuja TZ kutoka Kenya...Kimya Kimya namsikia Kagame jaman JPM shikiria apo apo nipate abiria

Wakenya mnatishia kujamba kumbe mnaharisha yaani aibuuu... mnaliua wenyewe shirika lenu kwa Roho mbaya zenu kama kisu cha Ngariba, Alafu uku sisi midege ya watalii inazidi kushuka, na kwa style hii imeonesha Hatuitaji KQ, mlikuwa mnahujumu hadi watalii wetu...ona foleni za ndege KIA na Julius Nyerere, jana KIA kuna mshikaji wngu anasema ndege zilishuka mpaka wakasema watakosa parking maana imevunja record ya kitaifa kupokea ndege kwa mpigo kiasi kile. Kenya ukiyataka ya POPO sharti ujue kuning’inia
Kama vile naliona game la draft Magu vs Kenyata, Magu amekaa anasubiria nyang'au ajichanganye huku Kenyata anaona kete kama zina moto vile
Akibana anaua shirika la ndege, akikubali basi ataudhihirishia ulimwengu kuwa TZ ndo baba lao kwenye maamuzi
 
Kama vile naliona game la draft Magu vs Kenyata, Magu amekaa anasubiria nyang'au ajichanganye huku Kenyata anaona kete kama zina moto vile
Akibana anaua shirika la ndege, akikubali basi ataudhihirishia ulimwengu kuwa TZ ndo baba lao kwenye maamuzi
Kenyatta hana jinsi zaidi ya kuomba msamaha tu mana KQ ni ya mabeberu ila yeye na familia yake wanakula 10% so ni lazima akubali yaishe cz hasara itakayopata kq ni ya beberu na beberu hataki kuckia kuhusu hasara "the real loss kwa kukosa routes za Tz" mana loss wanayotangaza kila siku huwa ni ya kukwepa kodi but hii ya ss ndo loss yenyewe
 
Back
Top Bottom