Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_0465.jpg

IMG_0464.jpg

From Danga.
 
it’s Five Months now since March (March, April, May, June, July) and now is August. Wakenya mnatuongezea miezi mingapi mengine Corona itupige na kutuua kwa jinsi tunavyoipuuzia??
Bado Wanajiuliza Shetani wao Aliwalisha Matango poli Aina gani
 
Khaaaa kibera rent ni less than 2 dollars..halafu kuna wakenya walisema eti sisi hatuwezi kodi ya kibera,eti mtu anayekaa kibera akija dar anaishi tabata🤣🤣😀😀...***** hata tandale hupati even room ambayo rent ni less than 15 dollar..wakenya hamna exposure..ati city,rent less than 2 dollars..uuuh jokes
 
Khaaaa kibera rent ni less than 2 dollars..halafu kuna wakenya walisema eti sisi hatuwezi kodi ya kibera,eti mtu anayekaa kibera akija dar anaishi tabata...***** hata tandale hupati even room ambayo rent ni less than 15 dollar..wakenya hamna exposure..ati city,rent less than 2 dollars..uuuh jokes
Kwa haraka haraka ni km
Tsh.3000
 
Unaweza kukuta wakenya hiyo nayo hawawezi kulipa,kila siku wanakimbizana na mama kibanda,saundi nyingi hadi wanapewa notisi
Nimeshangaa sana yn less than 2dollars?

Unajua nahisi maisha ya Wakenya ni zaidi ya tunavyojua amini nakwambia wana maisha ya ajabu sana sema tu humu wana act tu. Ila taratibu tunawazoom
 


Hiyo viva towers binafsi imeniboa sana, siyo kama nilvyotegemea wakati inajengwa, yaani nilitegemea angalau kuwe na restaurants, bars, cinema au mall ya aina fulani chini au juu lkn sioni chochote zaidi ya lijengo lote kuwa na wapangaji na kila kitu ni kwa ajili ya wapangaji tu, kwangu mimi sioni manufaa yake labda kwa wanaoishi humo, hilo eneo tumelipoteza kabisa Wananchi wa Dar, ...
 
Hiyo viva towers binafsi imeniboa sana, siyo kama nilvyotegemea wakati inajengwa, yaani nilitegemea angalau kuwe na restaurants, bars, cinema au mall ya aina fulani chini au juu lkn sioni chochote zaidi ya lijengo lote kuwa na wapangaji na kila kitu ni kwa ajili ya wapangaji tu, kwangu mimi sioni manufaa yake labda kwa wanaoishi humo, hilo eneo tumelipoteza kabisa Wananchi wa Dar, ...

Ilikuwepo Restaurant nzuri sana pale Rhapsody’s na Smooch ila wamehamia masaki pale Lumianry sasa wapo pale pearl Galaria rooftop .
 
Hivi KQ bado wamepigwa kabali hakuna kutua TZ eeh..hawa jamaa wameingia kwnye Kumi na nane wenyewe...yaani wametishia kujamba, wazee tumekunya kabisa.

Yaani unampigia JPM alafu haupatikani, Kama navyoona Wakenya Roho zinavyo wauma wakiona Rwanda Air na Ethiopia inavyo vuna tu abiria wanaokuja TZ kutoka Kenya...Kimya Kimya namsikia Kagame jaman JPM shikiria apo apo nipate abiria

Wakenya mnatishia kujamba kumbe mnaharisha yaani aibuuu... mnaliua wenyewe shirika lenu kwa Roho mbaya zenu kama kisu cha Ngariba, Alafu uku sisi midege ya watalii inazidi kushuka, na kwa style hii imeonesha Hatuitaji KQ, mlikuwa mnahujumu hadi watalii wetu...ona foleni za ndege KIA na Julius Nyerere, jana KIA kuna mshikaji wngu anasema ndege zilishuka mpaka wakasema watakosa parking maana imevunja record ya kitaifa kupokea ndege kwa mpigo kiasi kile. Kenya ukiyataka ya POPO sharti ujue kuning’inia
 
Hivi KQ bado wamepigwa kabali hakuna kutua TZ eeh..hawa jamaa wameingia kwnye Kumi na nane wenyewe...yaani wametishia kujamba, wazee tumekunya kabisa.

Yaani unampigia JPM alafu haupatikani, Kama navyoona Wakenya Roho zinavyo wauma wakiona Rwanda Air na Ethiopia inavyo vuna tu abiria wanaokuja TZ kutoka Kenya...Kimya Kimya namsikia Kagame jaman JPM shikiria apo apo nipate abiria

Wakenya mnatishia kujamba kumbe mnaharisha yaani aibuuu... mnaliua wenyewe shirika lenu kwa Roho mbaya zenu kama kisu cha Ngariba, Alafu uku sisi midege ya watalii inazidi kushuka, na kwa style hii imeonesha Hatuitaji KQ, mlikuwa mnahujumu hadi watalii wetu...ona foleni za ndege KIA na Julius Nyerere, jana KIA kuna mshikaji wngu anasema ndege zilishuka mpaka wakasema watakosa parking maana imevunja record ya kitaifa kupokea ndege kwa mpigo kiasi kile. Kenya ukiyataka ya POPO sharti ujue kuning’inia
KQ c ndo

Kenya Quarantine???
 
Back
Top Bottom