Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe hujui kitu wewe..
Achana na vijana wa kisomali, wabajuni na waswahili uwanjani wewe..
Ni vile tu hao jamaa wengi huachia katikati career zao
Mambo ya Mpira is not your forte sweetheart

Mara ya Mwisho mimi kujadili Mpira na mtoto wa Kike ilikuwa ni miaka kadhaa nyuma wakati nakaa Geto, Ilikuwa ni Mechi ya Man United na Arsenal, Ilikuwa hivi,
Demu: Baby Hiyo kadi ya Njano inamaana gani?
Mimi : Hiyo ni Onyo,
Demu: Na Nyekundu?
Mimi : Maana yake Ni adhabu haruhusiwi kuendele na Mchezo, anatakiwa atoke nje ya uwanja kabisa na inaweza kuambatana na adhabu nyingine,
Demu: Na ya Kijani je?
Mimi: Hakuna kadi ya Kijani, Ni njano na Nyekundu pekee,
Demu: Na Huyu mzee ni nani? Mbona anahangaika hatulii?
Mimi: Huyo ni Manager wa Arsenal, anaitwa Aresene Wenger
Demu: Kwaiyo wa Manchester United anaitwa Manchester Wenger?
Mimi; Hapana, anaitwa Alex Fergusson
Demu : Baby nataka Arsenal washinde Kombe la Dunia,
Mimi : Nikatoka nikaenda zangu pub Kuangalia kipindi cha Pili na Wana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya Mpira is not your forte sweetheart

Mara ya Mwisho mimi kujadili Mpira na mtoto wa Kike ilikuwa ni miaka kadhaa nyuma wakati nakaa Geto, Ilikuwa ni Mechi ya Man United na Arsenal, Ilikuwa hivi,
Demu: Baby Hiyo kadi ya Njano inamaana gani?
Mimi : Hiyo ni Onyo,
Demu: Na Nyekundu?
Mimi : Maana yake Ni adhabu haruhusiwi kuendele na Mchezo, anatakiwa atoke nje ya uwanja kabisa na inaweza kuambatana na adhabu nyingine,
Demu: Na ya Kijani je?
Mimi: Hakuna kadi ya Kijani, Ni njano na Nyekundu pekee,
Demu: Na Huyu mzee ni nani? Mbona anahangaika hatulii?
Mimi: Huyo ni Manager wa Arsenal, anaitwa Aresene Wenger
Demu: Kwaiyo wa Manchester United anaitwa Manchester Wenger?
Mimi; Hapana, anaitwa Alex Fergusson
Demu : Baby nataka Arsenal washinde Kombe la Dunia,
Mimi : Nikatoka nikaenda zangu pub Kuangalia kipindi cha Pili na Wana.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli alikuwa anakuchosha
 
Mambo ya Mpira is not your forte sweetheart

Mara ya Mwisho mimi kujadili Mpira na mtoto wa Kike ilikuwa ni miaka kadhaa nyuma wakati nakaa Geto, Ilikuwa ni Mechi ya Man United na Arsenal, Ilikuwa hivi,
Demu: Baby Hiyo kadi ya Njano inamaana gani?
Mimi : Hiyo ni Onyo,
Demu: Na Nyekundu?
Mimi : Maana yake Ni adhabu haruhusiwi kuendele na Mchezo, anatakiwa atoke nje ya uwanja kabisa na inaweza kuambatana na adhabu nyingine,
Demu: Na ya Kijani je?
Mimi: Hakuna kadi ya Kijani, Ni njano na Nyekundu pekee,
Demu: Na Huyu mzee ni nani? Mbona anahangaika hatulii?
Mimi: Huyo ni Manager wa Arsenal, anaitwa Aresene Wenger
Demu: Kwaiyo wa Manchester United anaitwa Manchester Wenger?
Mimi; Hapana, anaitwa Alex Fergusson
Demu : Baby nataka Arsenal washinde Kombe la Dunia,
Mimi : Nikatoka nikaenda zangu pub Kuangalia kipindi cha Pili na Wana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto yako nzuri sana
 
Your priorities are so efd up..
More than 80percent of your Population can't even afford that lifestyle ...yet you are here cheering for your father buying visitors expensive liquor when you don't have food in house... Crap.
Mbna basi malls kenya zimetapakaa km watumiaji sio wengi
 
One side walk ndio nini
Hata google pia kwanza itamaka
so you wana go throuth that cheap angle upperhill have sidewalk only on oneside of the road
Screenshot_20200727-073024.jpg
 
Back
Top Bottom