Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa ni jinga sn, hv unadhani Tz ni failed state km kenya mandege ya mitumba yanaanguka anguka hovyo?

Hizo mambo zilikuwa kitambo huko kipindi kile Tz ya wapigaji a.k.a ldc but now Tz ni nchi ya viwanda a.k.a MIC kila kitu kipya ndege mupya kabisa na zinanunuliwa in cash basis, ss wewe fala baki na ujinga wako ukisubiri mabalaa Tz mwishowe yanawarudia ninyi wenyewe pumbavu.

unaleta ajali ya 2012 unataka kuaminisha umma kwamba ni ya hv karibuni ndo nn ss, be fair bwege ww.
Alafu huyo fala anatakiwa ajue kwamba,hiyo ndege iliangushwa makusudi wakati Atcl lilipofanyiwa hujuma ili mashirika binafsi yabaki kwenye soko,na sio kwamba ilianguka bahati mbaya.
 
85C08498-DF7C-49BD-A899-1070A10C48A0.jpeg
6F9146CC-CBA2-4E50-91E4-DE98397E5DC8.jpeg
 
Kikubwa nikuwa hakuna Mtanzania Anakufa na njaa
Mimi Napoishi Mchele kilo ni Tsh 600 sawa na Ksh 27
Maharage Kilo 1600/sawa Ksh 72
Unga sie huku ni mahindi debe 7000
Sawa na Ksh 310
Hizo Karatasi zenu Sijui huwa mnazitoa wapi
So mkenya akija TZ na ksh 1000 atanyamazisha kila mtu,hahaha 😂
 
We jamaa ni jinga sn, hv unadhani Tz ni failed state km kenya mandege ya mitumba yanaanguka anguka hovyo?

Hizo mambo zilikuwa kitambo huko kipindi kile Tz ya wapigaji a.k.a ldc but now Tz ni nchi ya viwanda a.k.a MIC kila kitu kipya ndege mupya kabisa na zinanunuliwa in cash basis, ss wewe fala baki na ujinga wako ukisubiri mabalaa Tz mwishowe yanawarudia ninyi wenyewe pumbavu.

unaleta ajali ya 2012 unataka kuaminisha umma kwamba ni ya hv karibuni ndo nn ss, be fair bwege ww.
Kitu kipya na kimeanguka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ujue mechanical problems haichagui..

Kisha eti ya zamani, mbna mnapenda kujifurahisha, atcl kafufua magufuli na ilikufa kitambo sana
 
Back
Top Bottom