Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ni wivu tu.....it's only Tanzanians who pretend not to love our city.This is probably the most modern pure black African city.....south Africans don't consider themselves Africans that's why they maim and kill their fellow Africans.Sisi hapa Kenya we welcome anyone who needs a livelihood from any African nation. Nairobi is simply unstoppable. .....kwanza watanzania wamejaa gikomba na muthurwa market. wanatambua pesa ina circulate Nairobi kwa kasi sana
😀😀😀😀😀 mm nafkiri umechanganya kidogo wakenya ndio wamejaa tanzania na hawataki kurudi kwao alafu tanzania haina wivu na nchi yoyote, tatizo kenya muna roho za korosho kwa nchi zingine
 
😀😀😀😀😀 mm nafkiri umechanganya kidogo wakenya ndio wamejaa tanzania na hawataki kurudi kwao alafu tanzania haina wivu na nchi yoyote, tatizo kenya muna roho za korosho kwa nchi zingine


magufuli si alifukuza wakenya huko. ...Tanzania is the most hostile nation Kenya anaweza operate.You might end up being profiled ujipate jelani kusingiziwa wizi
 
Unaclaimigi umefika Nai but hujawai fika....ebu nikutest:
Hii underpass iko highway gani???? Ukijibu hiyo umefika Nai
55b7c6d5aaed5fd4355728892c215b6f.jpg

hiyo underground ipo murang'a road juu ya globe flyover kilomita chache ukiwa una toka river road.
siku zote nilikuwa nadhani hiyo nayo ni thika highway kumbe ni murang'a road.
9df965a63e4561e9267b5265126294fe.jpg


FYI hakuna nchi yoyote ya EA sijawahi fika kasoro south Sudan tu.

UG,Rwanda,burundi,zote nimeshatembelea.

nairobi nimeishi miaka minne mpaka nikapata manzi wa kimeru nikawa naishi naye kama mke wangu.

huyo manzi nimezaa naye mtoto wa kiume, a very handsome and intelligent baby boy.kwa kifupi iam your brother inlaw,you should respect me.

endelea kubaki hapo kibera uki-comment jf.
 
magufuli si alifukuza wakenya huko. ...Tanzania is the most hostile nation Kenya anaweza operate.You might end up being profiled ujipate jelani kusingiziwa wizi
hajafukuza ila walikua wanaishi kinyume na sheria na hakuna nchi itakubali ndio maana hata america mlifukuzwa na trump
 
Lamu is a historic site dated from 1400's and that's what attracts visitors over there.It is a UNESCO world heritage site.....but with lapsett a new resort city will also come up. Diani is better than Zanzibar anyway
kama better mbona mumekimbia sasa😀😀😀😀 zanzibar is also unesco world heritage site
 
hiyo underground ipo murang'a road juu ya globe flyover kilomita chache ukiwa una toka river road.
siku zote nilikuwa nadhani hiyo nayo ni thika highway kumbe ni murang'a road.
9df965a63e4561e9267b5265126294fe.jpg


FYI hakuna nchi yoyote ya EA sijawahi fika kasoro south Sudan tu.

UG,Rwanda,burundi,zote nimeshatembelea.

nairobi nimeishi miaka minne mpaka nikapata manzi wa kimeru nikawa naishi naye kama mke wangu.

huyo manzi nimezaa naye mtoto wa kiume, a very handsome and intelligent baby boy.kwa kifupi iam your brother inlaw,you should respect me.

endelea kubaki hapo kibera uki-comment jf.


mmmhhh that was deep.na vile mnatukana madada zetu. .........
 
hiyo underground ipo murang'a road juu ya globe flyover kilomita chache ukiwa una toka river road.
siku zote nilikuwa nadhani hiyo nayo ni thika highway kumbe ni murang'a road.
9df965a63e4561e9267b5265126294fe.jpg


FYI hakuna nchi yoyote ya EA sijawahi fika kasoro south Sudan tu.

UG,Rwanda,burundi,zote nimeshatembelea.

nairobi nimeishi miaka minne mpaka nikapata manzi wa kimeru nikawa naishi naye kama mke wangu.

huyo manzi nimezaa naye mtoto wa kiume, a very handsome and intelligent baby boy.kwa kifupi iam your brother inlaw,you should respect me.

endelea kubaki hapo kibera uki-comment jf.
Ipo pangani,Thika road....kumbe wewe no Fisi hadi uko na mbegu kenya
 
Back
Top Bottom