Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zenj
kilindizanzibar1.jpg
9014931_18_z.jpg
 
Jamaa wanaumia sana😀😀😀😀
Am yet to see anything spectacular from tz apart from swahili! nimefuata hii thread tokea mwanzo! bado tz haiko level ya kenya, ukweli ni kua kazi iko kwa kasi., but not yet there! mungekua na gdp kubwa kulingana na vile munapiga domo humu! dar bado, lakini inakuja kwa kasi., zanzibari ni kwa waswahili wazembe na washamba, wageni wanao tembea kule ndio wanachangamsha mji.
 
Am yet to see anything spectacular from tz apart from swahili! nimefuata hii thread tokea mwanzo! bado tz haiko level ya kenya, ukweli ni kua kazi iko kwa kasi., but not yet there! mungekua na gdp kubwa kulingana na vile munapiga domo humu! dar bado, lakini inakuja kwa kasi., zanzibari ni kwa waswahili wazembe na washamba, wageni wanao tembea kule ndio wanachangamsha mji.
😀😀😀😀 mbona unatapika hvo
Gdp ya kenya imeshinkwa na investors lakini wakenya ni masikini hakuna mfano.......
So mm nilifkiri kwanza mupambane na njaa janga la taifa alafu mkimaliza muje
By the way znz ni mji wakitalii unafahamika kitambo sana......
 
Am yet to see anything spectacular from tz apart from swahili!
mr. john smith from UK,where have seen this in EA?.

off topic kidogo:
hatimaye mzungu a-surrender kwa rais wa tanzania.

wakati marais wa nchi nyingi za afrika hususani kenya hupenda kwenda ulaya kulamba miguu ya wazungu,mzungu John L. Thornton ambaye kiwadhifa ni Mwenyekiti wa kampuni kubwa duniani linalojishughulisha na uchimbaji madini,barrick gold corporations,leo amekuja tanzania na ndege yake binafsi ku-resolve the ongoing mining conflict with our president, Dr John Magufuli.
865ccf2d69559c29da89f5cd92a151c0.jpg
20dad41c33360ee2102ebc12c6cdbe83.jpg


hii haijawahi kutokea nchi yoyote EA.kama iliwahi kutokea,basi ni zamani sana isipokuwa tanzania.

ikumbukwe JPM,tangu awe rais,hajawi kuwa na kiherehere cha kwenda ulaya kujipendekeza kwa wazungu kama anavyofanya Uhuru kenyatta au kama alivyofanya jakaya kikwete,mpaka watz tukampa jina Vasco da gama the explorer.

asante sana jpm kwa kurejesha heshima ya mtz.wazungu watakuja wengi sana kutubembekeza round hii.
 
Am yet to see anything spectacular from tz apart from swahili! nimefuata hii thread tokea mwanzo! bado tz haiko level ya kenya, ukweli ni kua kazi iko kwa kasi., but not yet there! mungekua na gdp kubwa kulingana na vile munapiga domo humu! dar bado, lakini inakuja kwa kasi., zanzibari ni kwa waswahili wazembe na washamba, wageni wanao tembea kule ndio wanachangamsha mji.


true.
 
This world is controlled by a clique of guys.......whether in high income nation's or the poorest of nations.....that's a class 3 logic.
The rest are mere pawns.Only Scandinavian countries escaped this impenetrable dense fog of misery.
 
Ujenzi wa hoteli ya kisasa mtoni marine unamilikiwa na azam owner...hoteli hii wanafukia bahari takriban hektari 30 ili kutengeneza water parks,marine parks na mambo mengine...znz
Under construction
Mtoni Marine_zpsh0bm7f1o.png
 
Back
Top Bottom