Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa bado wanazika watu kwa covid-19 View attachment 1510414

Adjustments.jpg
 
Ni muda sasa wajiulize kwa ini Diamond anang'oa milupo mikalimikali ni kwa sababu ya kujiweka kiume sio kubana pua na kulegeza macho
Mkuu huu mziki diamond kaubadilisha sn, wasanii wengi walikuwa na ujinga flani hv wa kuamini ukiwa msanii lazima ulegeze sauti, ujirembe, utembee kwa mapozi n.k lkn kijana alipoingia tu japo nae alianza kwa kuwakopi kina Mr. Blue lkn kadri muda ulivyokwenda ndvyo alivyozd kujiweka kiuhalisia na wengi saivi wanaiga.
 
Aise,kumbe hii inshu ya TZ kuimaliza Corona, imeawauma kiasi hili!!? Naamini wtz wenzangu mliomo humu JF mtakubaliana na mm kwamba sio Mara ya Kwanza Rais MAGUFULI kuhairisha sherehe za kitaifa,hata kabla Corona, sasa baada ya kuhairisha siku ya mashujaa,ona hawa takataka walichoandika!


Fear of COVID-19 Hitting John Pombe Magufuli With This New Move?

pmeja
2h



In the recent past, John Pombe Magufuli has been holding public events and rallies regardless of the COVID-19 dangers and risks such gatherings would pose to his health and those of Tanzanians' lives.



Over the last weekend, he led a team of politicians from his Chama Cha Mapinduzi (CCM) party where they held a political meeting in Dodoma.

He also invited celebrated artists, starting from WCB Records founder and CEO, Diamond Platnumz and his team, Kings Music founder Ali Kiba, and Konde Gang Worldwide Recorders owner, Harmonize and his team.



The event was packed to capacity, all dressed in yellowish and greenish, the party's colors.

However, it seems John Magufuli was having butterflies in his stomach ahead of the country's Mashujaa Day celebrations on 25 July.

Magufuli has canceled the event that was being eagerly awaited for.

Dr. Magufuli has canceled the crucial event which was supposed to go down in Dodoma City and asked Tanzanians to celebrated their heroes by remembering what they did for the country.

It remains unclear why Magufuli decided to cancel such an important date from Tanzania's 2020 calendar, yet he had declared Tanzania free of coronavirus



Could it be fear of the COVID-19 disease or converting the event's budget to other important development projects in the country?

A few weeks ago, Magufuli declared Tanzania COVID-19 free. This was followed by the re-opening of the economy and even the learning institutions, starting from primary to colleges and universities.

However, his move received criticism from the opposition who said the CCM party leader was putting many lives of Tanzanians at risk.

Opposition still holds that Tanzania is not free of COVID-19 and that Tanzanians are dying from the disease.

In Kenya, which also recorded COVID-19 cases in the same month with Tanzania, cases have grown to over 12, 000. At least 225 people have also passed on due to COVID-19.

Meanwhile, do you think John Magufuli cancel Mashujaa Day in fear of COVID-19 or to avoid unnecessary spending?
Walie watakavyo ila haitobadili ukweli kwamba corona Tz imeshakuwa historia.
 
Back
Top Bottom