Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ongoing construction of Eldoret by-pass. Kenya is building these kinds of roads everywhere around the country.

Ec8QhLhX0AA-Rzq.jpg
Ec8QhWxWkAURgI0.jpg
Ec5SC2jWoAEoCKm.jpg
Ec5SBz8WkAcy8R0.jpg
 
Najua utumizi wa Wi-Fi unakushtua.
Lakini ulaya Kenya Wi-Fi kwa nyumba ama ofisi ni jambo la kawaida.
In fact hapa hatutumii bundle.

Pengine mwaka 2030 bongo pia mtapata fibre na router za kuleta Wi-Fi nyumbani, kwa speed za ajabu.

Leo hii samahani naona speed ni slow kidogo hapa kwangu.

Speedtest by Ookla - The Global Broadband Speed Test

View attachment 1509313
Kadanganye nyanya yako....endelea kutumia vya bure sabab umaskin mpka kwenye kalio...brainless
 
JUNE PROJECT

0-19km bado madaraja..na earthworks
70-90km ruvu hapa ndo kazi kubwa na ngumu imebaki
130-170km hapa pia kazi kubwa imebaki

Niko.optimistic lakini sidhani kama yapi anamaliza hii kazi december..maybe february 2021..

Overall wamefanya kazi nzuri lakini..hizi mvua za kuanzia september -november might slow things again

Goverment should not give phase 3 ..Mwanza -Isaka kwa hao yapi unless wamemaliza phase 1 on time...they should just sign na contractor wengne hata kama ni wachina if price ni nzuri
 
0-19km bado madaraja..na earthworks
70-90km ruvu hapa ndo kazi kubwa na ngumu imebaki
130-170km hapa pia kazi kubwa imebaki

Niko.optimistic lakini sidhani kama yapi anamaliza hii kazi december..maybe february 2021..

Overall wamefanya kazi nzuri lakini..hizi mvua za kuanzia september -november might slow things again

Goverment should not give phase 3 ..Mwanza -Isaka kwa hao yapi unless wamemaliza phase 1 on time...they should just sign na contractor wengne hata kama ni wachina if price ni nzuri
5yrs for 173km.
Tanzania is a joke
 
Back
Top Bottom