Akili ndogo km huyu...ngoja nimnyoshe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio ulaya hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1509293
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]stupidity never leave a brainless personUsijali kaka.
Hata treni mpya utakuja kuona Nairobi kuanzia September.
Bora urudi kwenu ukimaliza kutalii. Hatutaki omba omba zaidi.
dsm ina league zake ambazo huwezi zikuta popote duniani.
A brainless never know how to argue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio treni ya umeme?
View attachment 1509309
Kadanganye nyanya yako....endelea kutumia vya bure sabab umaskin mpka kwenye kalio...brainlessNajua utumizi wa Wi-Fi unakushtua.
Lakini ulaya Kenya Wi-Fi kwa nyumba ama ofisi ni jambo la kawaida.
In fact hapa hatutumii bundle.
Pengine mwaka 2030 bongo pia mtapata fibre na router za kuleta Wi-Fi nyumbani, kwa speed za ajabu.
Leo hii samahani naona speed ni slow kidogo hapa kwangu.
Speedtest by Ookla - The Global Broadband Speed Test
View attachment 1509313
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah kweli aiseeKenya ni jumba la makumbusho kweli kweli, mfano mpk leo kuna;
1. chai maarage,
2. madege ya first world war na bado yanapiga route,
3. usafiri wa baiskeli ndani ya CBD,
4. vivuko vya tangu enzi za mwalimu,
5. treni za kutumia kuni
Hebu jionee mwenyewe ukipenda ungana na mm tukafanye utalii[emoji116][emoji116]View attachment 1509361View attachment 1509362View attachment 1509364View attachment 1509367View attachment 1509369
Safii mi mwenyew naichek hapaView attachment 1509454
[emoji897][emoji897][emoji897]
Usijitie wehu mwanga wewe. Hiyo ni treni ya Mkandarasi Yapi Merkezi. Hata logo yao ipo kwenye hiyo treni zoom tu Utaona. Usidhani nchi yetu ni mbovu kama yenu.....mnapanda mahindi mnavuna viazi. World class infrastructure my ASSView attachment 1509332View attachment 1509331
Wtf is this??[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1509330
Huyu Mkuda anajua sisi tunaeza shikishwa?.Usijitie wehu mwanga wewe. Hiyo ni treni ya Mkandarasi Yapi Merkezi. Hata logo yao ipo kwenye hiyo treni zoom tu Utaona. Usidhani nchi yetu ni mbovu kama yenu.....mnapanda mahindi mnavuna viazi. World class infrastructure my ASSView attachment 1509332View attachment 1509331
Wtf is this??[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1509330
Hii ndo mordern state,,,,,twendeni tukatalii.Kenya ni jumba la makumbusho kweli kweli, mfano mpk leo kuna;
1. chai maarage,
2. madege ya first world war na bado yanapiga route,
3. usafiri wa baiskeli ndani ya CBD,
4. vivuko vya tangu enzi za mwalimu,
5. treni za kutumia kuni
Hebu jionee mwenyewe ukipenda ungana na mm tukafanye utalii[emoji116][emoji116]View attachment 1509361View attachment 1509362View attachment 1509364View attachment 1509367View attachment 1509369
ukisoma hilo neno Kanahojiwa alafu akaangalia na hiyo ndula ya mlinzi Nicxie lzm ucheke [emoji23][emoji23]
Utofauti wa kimkakati kati ya Tz na kenya ni mbingu na ardhi.
0-19km bado madaraja..na earthworksJUNE PROJECT
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 5yrs for 173km.0-19km bado madaraja..na earthworks
70-90km ruvu hapa ndo kazi kubwa na ngumu imebaki
130-170km hapa pia kazi kubwa imebaki
Niko.optimistic lakini sidhani kama yapi anamaliza hii kazi december..maybe february 2021..
Overall wamefanya kazi nzuri lakini..hizi mvua za kuanzia september -november might slow things again
Goverment should not give phase 3 ..Mwanza -Isaka kwa hao yapi unless wamemaliza phase 1 on time...they should just sign na contractor wengne hata kama ni wachina if price ni nzuri
What..you want us to pollute our enviroment with Disel locomotives...for a superior rail its worth it hata kma 10 yrs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 5yrs for 173km.
Tanzania is a joke