Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What..you want us to pollute our enviroment with Disel locomotives...for a superior rail its worth it hata kma 10 yrs
Am sure your vehicles use electricity too hence they don't pollute the environment
Kama 173km Inawachukua 10yrs then GDP gap na Kenya tunawapiga ×3 from the current ×2 maana tutakua tumebeba mizigo na abiria wengi sana in 10 years time.
 
Nyie ki reli chenu ni kuweka tuta na kuweka reli basi, Tz Sgr kuna welding, wire pulling, bts building, power line building, signaling etc,
Kama na nyie mtaweka umeme maana yake heee kazi mnayo kujenga upya hahahaa
Am sure your vehicles use electricity too hence they don't pollute the environment
Kama 173km Inawachukua 10yrs then GDP gap na Kenya tunawapiga ×3 from the current ×2 maana tutakua tumebeba mizigo na abiria wengi sana in 10 years time.
 
Chombo kwa Barabara
IMG_20200717_193607_304.JPG
IMG_20200717_193632_956.JPG
IMG_20200717_193805_066.JPG
 
Nyie ki reli chenu ni kuweka tuta na kuweka reli basi, Tz Sgr kuna welding, wire pulling, bts building, power line building, signaling etc,
Kama na nyie mtaweka umeme maana yake heee kazi mnayo kujenga upya hahahaa
The only reason any rail in the world is built ni kubeba abiria na mizigo. Cha muhimu tunabeba abiria na mizigo tena kwa haraka kuliko zamani kitu ambacho Tanzania haijaweza kufanya 4 years later.
 
0-19km bado madaraja..na earthworks
70-90km ruvu hapa ndo kazi kubwa na ngumu imebaki
130-170km hapa pia kazi kubwa imebaki

Niko.optimistic lakini sidhani kama yapi anamaliza hii kazi december..maybe february 2021..

Overall wamefanya kazi nzuri lakini..hizi mvua za kuanzia september -november might slow things again

Goverment should not give phase 3 ..Mwanza -Isaka kwa hao yapi unless wamemaliza phase 1 on time...they should just sign na contractor wengne hata kama ni wachina if price ni nzuri
Sina wasi wasi as long as kazi inafanyika, but wazo lako ni zuri wapewe wengine ili kuongeza ufanisi lkn mkuu wachina wkt mwngne ni wajanja wajanja ujue, wanaeza kuwapigia kazi mkaona ni nzuri kumbe chaka 2yrs tu rail hoiii.

Me nadhani tukomae na huyu huyu mturuki ila tumpe presha km wanayopewa kule JNHP kwmb daily viongozi wawe wana visit mradi.
 
Back
Top Bottom