babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Diesel league na second hand leagueNije kuangalia diesel train wkt kwetu kuna ya umeme ntakuwa timamu kweli



Diesel league na second hand leagueNije kuangalia diesel train wkt kwetu kuna ya umeme ntakuwa timamu kweli



Usijali kaka.
Hata treni mpya utakuja kuona Nairobi kuanzia September.
Bora urudi kwenu ukimaliza kutalii. Hatutaki omba omba zaidi.
Wanachekesha sana hawa watu, mwingine kafungua uzi akisifu diesel second hand classic trainDiesel league na second hand league![]()




Halafu wanatuogopa na hawajiamini ndio maana hawawezi kukaa bila kutaja taja Tanzania,Wanachekesha sana hawa watu, mwingine kafungua uzi akisifu diesel second hand classic train![]()



GSM imeingia kenya
Tunawacharaza mpk hawana hamu, kuna mmoja katiwa vitasa kunako u tube mpk huruma, yn cku hz mkenya kawa fala kabisa kwa mTzHalafu wanatuogopa na hawajiamini ndio maana hawawezi kukaa bila kutaja taja Tanzania,
Eti tuonee wivu diesels locomotives tena second hand![]()




Umepanda kwa 20%Nyinyi LDC tu.
Tangu Magu atangaze last month, mshahara wako umepanda na ngapi?
Umepanda kwa 20%
Nije kuangalia diesel train wkt kwetu kuna ya umeme ntakuwa timamu kweli
Ni mwendo wa vitasaTunawacharaza mpk hawana hamu, kuna mmoja katiwa vitasa kunako u tube mpk huruma, yn cku hz mkenya kawa fala kabisa kwa mTz![]()



Ndo kama hivyo bundle kwangu lipo muda wote sema nikutumie pesa ya bundle kwa maana saa hii upo unagongea Wi-FiHaya.
Nunua bundle zaidi basi ukasifu Magu pale Jukwaa la siasa.
Awa jamaa bado wanategemea baiskeli halafu ipo pamoja na bodabodausafiri wa pikipiki ni jambo moja na usafiri wa baskeli ni jambo jinginetujifunze kutafautisha
View attachment 1509310
safi sana,wakenya kwa sasa watuli tu , waendelee kuusoma mchezoGSM imeingia kenya
Ndo kama hivyo bundle kwangu lipo muda wote sema nikutumie pesa ya bundle kwa maana saa hii upo unagongea Wi-Fi
Usijitie wehu mwanga wewe. Hiyo ni treni ya Mkandarasi Yapi Merkezi. Hata logo yao ipo kwenye hiyo treni zoom tu Utaona. Usidhani nchi yetu ni mbovu kama yenu.....mnapanda mahindi mnavuna viazi. World class infrastructure my ASSHii ndio treni ya umeme?
View attachment 1509309
Usijitie wehu mwanga wewe. Hiyo ni treni ya Mkandarasi Yapi Merkezi. Hata logo yao ipo kwenye hiyo treni zoom tu Utaona. Usidhani nchi yetu ni mbovu kama yenu.....mnapanda mahindi mnavuna viazi. World class infrastructure my ASSView attachment 1509332View attachment 1509331
Wtf is this??
View attachment 1509330









Ndo maana nilikuambia wewe unatumia Wi-Fi za bure huna uwezo wa kununua bundleNajua utumizi wa Wi-Fi unakushtua.
Lakini ulaya Kenya Wi-Fi kwa nyumba ama ofisi ni jambo la kawaida.
In fact hapa hatutumii bundle.
Pengine mwaka 2030 bongo pia mtapata fibre na router za kuleta Wi-Fi nyumbani, kwa speed za ajabu.
Leo hii samahani naona speed ni slow kidogo hapa kwangu.
Speedtest by Ookla - The Global Broadband Speed Test
View attachment 1509313
Yah siku hizi tuko na bikes lane CBD so utaziona nyingiMabaiskeli, mabodaboda, maguta ndani ya CBD![]()

