Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuzungumzii kampuni moja, Trucks zinazochukua mzigo toka bandari ya Mombasa pekee ni almost Mara mbili ya ile inayotoka Dar Port, kumbuka kwamba mizigo mingi ya Kenya inaenda Nairobi, wakati ya Tanzania inaishia hapa hapa Dar.

Viwanda vya Kenya ni vingi, UN employees, wanasiasa wa Kenya wanaweza kuwa na magari Mara 3 zaidi ya wanasiasa wa Tanzania.
Leta facts! hata Arusha kuna tour vans za kufa mtu!

Map of Primefuels EA
PrimeFuels_Map-2.jpg
 
Ninatumia logic kwasababu hakuna evidence ya moja kwa moja inayoonyesha kwamba Tanzania inazidi Kenya kwa idadi ya MAGARI, hapa kinachotumika ni " ushahidi wa kimazingira na kutumia " rational thinking". Nitamshangaa mtu yeyote atakayekataa Kenya kuizidi Tanzania kwa idadi ya magari lakini anakubali Kenya kuizidi Tanzania kwa idadi ya Private helicopters, idadi kubwa ya population ya wazungu, idadi kubwa ya viwanda, idadi kubwa ya UN employees nk.

na kwann unemployment kubwa kenya na iko 40% hilo nalo linajibu??
 
na kwann unemployment kubwa kenya na iko 40% hilo nalo linajibu??
Kwasababu idadi ya magari katika hizi nchi mbili hakuna nchi yenye kuizidi Gari 3M. South Afrika ni miongoni mwa nchi zenye unemployment kubwa Sana, lakini bado inaongoza kwa idadi ya magari hapa Africa, hii ni kutokana na ukweli kwamba 15% ya wazungu wa South Afrika uchumi wao ni mkubwa sana kiasi cha kuweza kila familia kumiliki zaidi ya magari matano.

Kenya ni hivyo hivyo, wale wachache wenye kipato, hasa wageni na Politicians, wana uwezo mkubwa sana wa kumiliki magari mengi sana. Population ya Kenya matajiri ni ndogo sana, ila ni matajiri sana kupitiliza, ndio sababu wabanunua helicopters na Private jets.

Wakenya elfu kumi pekee wanamiliki 63% ya uchumi wote wa Kenya, ndio hao wenye kumiliki magari mengi, ukichanganya na UN employees, International companies, Embassies na wakenya wa kawaida wachache wenyewe kupenda SIFA kama wanasiasa wa Kenya, inatosha kuwa na magari mengi.
 
na kwann unemployment kubwa kenya na iko 40% hilo nalo linajibu??
Kwasababu idadi ya magari katika hizi nchi mbili hakuna nchi yenye kuizidi Gari 3M. South Afrika ni miongoni mwa nchi zenye unemployment kubwa Sana, lakini bado inaongoza kwa idadi ya magari hapa Africa, hii ni kutokana na ukweli kwamba 15% ya wazungu wa South Afrika uchumi wao ni mkubwa sana kiasi cha kuweza kila familia kumiliki zaidi ya magari matano.

Kenya ni hivyo hivyo, wale wachache wenye kipato, hasa wageni na Politicians, wana uwezo mkubwa sana wa kumiliki magari mengi sana. Population ya Kenya matajiri ni ndogo sana, ila ni matajiri sana kupitiliza, ndio sababu wabanunua helicopters na Private jets.

Wakenya elfu kumi pekee wanamiliki 63% ya uchumi wote wa Kenya, ndio hao wenye kumiliki magari mengi, ukichanganya na UN employees, International companies, Embassies na wakenya wa kawaida wachache wenyewe kupenda SIFA kama wanasiasa wa Kenya, inatosha kuwa na magari mengi.
 
Labda wewe ulete ushahidi hata wa kimazingira unaoonyesha Tanzania kuizidi Kenya kwa idadi ya MAGARI. Hivi iweje Kenya kuizidi Tanzania kwa idadi ya Private jets na Private choppers lakini kwenye MAGARI unapinga?.
 
Halafu kenya last year June walikuwa na generation ya KCA-001A to KCZ-999Z
Permutation ni kama Tanzania.

Sijaelewa mwenzetu hizo takwimu anapata wapi.
Halafu masikia wenzetu motorcycles na cars zinashare numbers.

How Kenya’s car number registration has evolved in time
Magari ya UN na ubalozi hayaingii katika huo mfumo, hata magari ya Serikali hayaingii katika huo mfumo, kwa hiyo kwa kutumia huo mfumo unaweza usikupe uhalisia wa mambo.
 
Kwasababu idadi ya magari katika hizi nchi mbili hakuna nchi yenye kuizidi Gari 3M. South Afrika ni miongoni mwa nchi zenye unemployment kubwa Sana, lakini bado inaongoza kwa idadi ya magari hapa Africa, hii ni kutokana na ukweli kwamba 15% ya wazungu wa South Afrika uchumi wao ni mkubwa sana kiasi cha kuweza kila familia kumiliki zaidi ya magari matano.

Kenya ni hivyo hivyo, wale wachache wenye kipato, hasa wageni na Politicians, wana uwezo mkubwa sana wa kumiliki magari mengi sana. Population ya Kenya matajiri ni ndogo sana, ila ni matajiri sana kupitiliza, ndio sababu wabanunua helicopters na Private jets.

Wakenya elfu kumi pekee wanamiliki 63% ya uchumi wote wa Kenya, ndio hao wenye kumiliki magari mengi, ukichanganya na UN employees, International companies, Embassies na wakenya wa kawaida wachache wenyewe kupenda SIFA kama wanasiasa wa Kenya, inatosha kuwa na magari mengi.
lakini south africa ni kama bado inatawaliwa bro ww huoni matukio ya mauaji ni mengi sana, na unaposema wachache ndio wenye uwezo kenya ukisema ni politician pia usisahau politician ni wachache so point ya kusema unemployment ni kama south africa bado hainiingii akilini huwez kua na viwanda alaf unemployment ikafika 40% na bado idadi inaongezeka kila leo
 
Magari ya UN na ubalozi hayaingii katika huo mfumo, hata magari ya Serikali hayaingii katika huo mfumo, kwa hiyo kwa kutumia huo mfumo unaweza usikupe uhalisia wa mambo.
Hebu niambie.
Hapa Tanzania kwa analysisi niliyokupa sijaweka magari ya zanzibar, Serikali, mashirika ya UN nk.

Kwani mashirika ya UN yanafika 1000 huko kenya!?
Halafu hao hao wakenya mwaka jana walisema wamesajili vyombo vya moto 2.9m mpaka kufikia june mwaka jana. Ukijumlisha na pikipiki.

Sijakuelewa hizo data zako unatoa wapi!?
 
Labda wewe ulete ushahidi hata wa kimazingira unaoonyesha Tanzania kuizidi Kenya kwa idadi ya MAGARI. Hivi iweje Kenya kuizidi Tanzania kwa idadi ya Private jets na Private choppers lakini kwenye MAGARI unapinga?.
so mm labda nikuulize swali kama shirika lipo UK limeamua kuekeza biashara ya private jets kenya unamaanisha hao wenye shirika lazma wawe kenya ili wamiliki magari???
 
huu utata kuhusu magari uishe, tuongelee mambo mengine
IMG_1594675263.093379.jpg
IMG_1594675278.238492.jpg


waweza kufanya makisio tu kijumlajumla.. si lazima upate actual data
IMG_1594675318.174657.jpg
 
na hapo maana yake wamejumlisha kila kinachoitwa chombo cha moto zikiwemo bajaj, pikipiki magari etc

huu mjadala kuhusu magar hauna maana, hakuna anaejua actual numbers
NB: hio pic ya kwanza ni Content sio ratio
 
na ikiwa 2012 dar pekee ilikua na magari 1m how about 2019?? vp kuhusu tanzania nzima

View attachment 1505978
Tatizo joto la jiwe ameingia mtego wa wakenya.
Anaanza kuongea tu bila facts.
Anaongelea mazingira tukimuuliza mazingira yapi!? Anaongelea mashirika ya UN hivi mashirika ya UN yanaweza kumilk magari hata 100,000!!?
Tuwe serious basi.
 
Tatizo joto la jiwe ameingia mtego wa wakenya.
Anaanza kuongea tu bila facts.
Anaongelea mazingira tukimuuliza mazingira yapi!? Anaongelea mashirika ya UN hivi mashirika ya UN yanaweza kumilk magari hata 100,000!!?
Tuwe serious basi.
na mashirika kama UN na mengine tanzania yapo pia na bado hua hayajumlishwi kwenye registered cars
 
Back
Top Bottom