Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Panali sky center
images-7.jpg
 
Magufuli awezeshe jeshi kujenga barabara zote tz achane na local wa mitaani wanajenga barabara zimechoka na kufubaa kabla hata ya uzinduzi zimejaa michanga na vumbi nini sababu mainjinia tusaidieni tatizo nini?
Uchumi utakufa akifanya hivyo, kumbuka kwamba bila Serikali makampuni ya ujenzi yatakufa, miradi ya serikaki ndiyo wanayotegemea kwa asilimia 90% ya kazi zao.
 
Uchumi utakufa akifanya hivyo, kumbuka kwamba bila Serikali makampuni ya ujenzi yatakufa, miradi ya serikaki ndiyo wanayotegemea kwa asilimia 90% ya kazi zao.
Hiyo hoja ni potovu ni kama kipindi computer zinaingia ilionekana zitaua ajira ,
Hao wafanyakazi na wasomi watakuwa wanaajiriwa jeshini pia kama ni hivyo unavyo sema kwanini hao mainjinia wasiwe wanajenga vizuri ili serkali isije kuwa replace na jeshi ? Kitu cha muhimu ni right decisions siyo kulea upuuzi
Wanajenga barabara hazina lock kuzuia zisimomozoke na zipo chini ya level ya udongo matokeo yake tunawapa kazi watu kufagia michanga kila siku na mavumbi ,cheki barabara za Uganda zilivyo chafu vumbi tupu niujinga kuendelea kutumia wajenzi local wakati wameshindwa kazi
 
Hiyo hoja ni potovu ni kama kipindi computer zinaingia ilionekana zitaua ajira ,
Hao wafanyakazi na wasomi watakuwa wanaajiriwa jeshini pia kama ni hivyo unavyo sema kwanini hao mainjinia wasiwe wanajenga vizuri ili serkali isije kuwa replace na jeshi ? Kitu cha muhimu ni right decisions siyo kulea upuuzi
Wanajenga barabara hazina lock kuzuia zisimomozoke na zipo chini ya level ya udongo matokeo yake tunawapa kazi watu kufagia michanga kila siku na mavumbi ,cheki barabara za Uganda zilivyo chafu vumbi tupu niujinga kuendelea kutumia wajenzi local wakati wameshindwa kazi
Hivi wanajenga wanavyopenda wao au kulinganisha na mchoro wanaopewa na mwajiri wao(serikali)? Hapa tatizo litakuwa la serikali kukubali kupokea na kulipia barabara zisizo na kiwango.
 
Back
Top Bottom