Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Ndio Mkuu, hujakosea. Treni zinaingia ndani ya station kwenye ghorofa ya juu.Hii inapita katikati ya jengo au nimeona vibaya
Ndio Mkuu, hujakosea. Treni zinaingia ndani ya station kwenye ghorofa ya juu.Hii inapita katikati ya jengo au nimeona vibaya
Jamaa akaanza kuita wabongo, hapo chacha[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Big hospitals are being built in every corner of the country, thank you Uhuru for good work
ina ngazi za sakafu only[emoji23][emoji23]Ni kweli lakini. Hiyo station ya nai ni gym jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
ni hatari sasa wataelewa tofauti ya treni yetu ya umeme na ule mkweche waoYani histation ni ny....ko moja unapandia kweny viaduct nyingine train inajufwata uko ndani.....manina....[emoji91][emoji91][emoji91]
Ni kweli lakini. Hiyo station ya nai ni gym jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Okay, acha tutaona updates za ujenzi vile muda unaenda.
But you guys again mmechemsha sana, siku hizi watu hawajengi mabarabara ya juu. Ni old fashioned hiyo. Kwanza zina haribu view ya mji na kushusha thamani ya majengo kule inapita. Saiv watu wamejikita kwenye BRT na Trams ili kupunguza congestion na matumizi ya private vehicles barabarani.
Hehehehee hii kitu imewastua sn[emoji3][emoji3]
Tulisema humu tukianza uzinduzi itakuwa tunazindua mwaka mzima, ilianza Ubungo interchange, ikaja Dodoma bus terminal, mara zikaja terminals ndogo ndogo quality ambazo nyingi hatuziweki humu so huu msumari ndo unaofuata na wasiseme hatujawaambia, hii ndiyo tofauti ya Nairobi terminal na hili Tanzanite [emoji3][emoji3][emoji3]
Duh hii tena ni mawe gani haya, wallahi Tz tunaletewa mambo ambayo huwezi kuyaona Afrika na dunia kwa ujumla.Station ya Dodoma itakuwa balaa. Na yenyewe treni zitapita juu. Big up kwa JPM kwa kutuletea miradi ya kimkakati. View attachment 1503109
Hehehehehe km mbele vilee[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio Mkuu, hujakosea. Treni zinaingia ndani ya station kwenye ghorofa ya juu.
Hapo wapi Afghanistan auu??
Hii park nzima ilitakiwa iwe open ila ndo hivyo kukosekana vision! Ningekuwa muhusika katika serikali ningengalia kuondoa hospitali na mahakama na shule ya mnazi mmoja na ile supermarket ya msomali kule mbele!
Kuomba Tanzania ni kosa la jinai, huko Kenya mnaruhusu ndio sababu wanakuja huko. Kama ambavyo Tanzania tumepiga marufuku biashara ya Mirungi wakati huko Kenya mumeruhusu, msitulazimishe tukubali kitendo cha ombaomba barabarani.Huyo si wa kwanza omba omba kutoka Tanzania wamejaa miji ya Kenya, sishabikii binadamu mwingine akipitia matatizo kama hayo ila nyie kwa kupenda kuishi in denial mnaonesha mlivyo wapuzi na wanafiki
Hivi nchi yao haina sheria ya kuwaondoa?Kuomba Tanzania ni kosa la jinai, huko Kenya mnaruhusu ndio sababu wanakuja huko. Kama ambavyo Tanzania tumepiga marufuku biashara ya Mirungi wakati huko Kenya mumeruhusu, msitulazimishe tukubali kitendo cha ombaomba barabarani.
mimba unaitaje ni sababu ya kipuuzi kufukuzwa shule???mko serious na masomo ya watoto kweli nyinyi??Kufukuza msichana shule kwa sababu za kijinga alafu unasingizia mzungu??[emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania kuna women right movements kweli ana kuna neno kama women empowerment?? Nawahurumia sana Watu wa jinsia ya kike Tanzania