komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kujeni muone jamaa la ppp hukuNimekuuliza je mpo tayari kuuza nchi kwa ajili ya tolls.
Kujeni muone jamaa la ppp hukuNimekuuliza je mpo tayari kuuza nchi kwa ajili ya tolls.
Kumbe katoka bongo jamani
Ni game changer
Wamarekani waomba kukodi madini ya Tanzanite kwenye maonesho ya madini mwakani. Waambiwa waandike barua.
Mambo yameanza kuiva
Station ya Dodoma itakuwa balaa. Na yenyewe treni zitapita juu. Big up kwa JPM kwa kutuletea miradi ya kimkakati.Hatari sana, yaan uyu Archtect shikamoo...,kitu cha Tanzanite kimeshuka kama kilivyo...TZ tunajenga SGR at the same tunajenga na vivutio vya stesheni zetu.
Nimeona render ya ile stesheni ya Dodoma na yenyewe ni Msiba. Sijui uyu Archtect wamewatoa wapi ukiacha Company yaan wale individuals they must be genius in architectural field.
Wakenya wamejengewa Temples zile za Mabhuza, Ngazi nyingi...kama mtu ushaona zile Movies za Shaolin utanielewa. Unakuta Kashaolin kanafanya mazoezi ya kuruka ngazi za temple uku amebeba mitungi ya pombe ndo walichojengewa wakenya.
Kisumu ndogo hta watu mia mbili hawafiki
Wow this is one of the best news
unique.....Station ya Dodoma itakuwa balaa. Na yenyewe treni zitapita juu. Big up kwa JPM kwa kutuletea miradi ya kimkakati. View attachment 1503109
Hatari sana, yaan uyu Archtect shikamoo...,kitu cha Tanzanite kimeshuka kama kilivyo...TZ tunajenga SGR at the same tunajenga na vivutio vya stesheni zetu.
Nimeona render ya ile stesheni ya Dodoma na yenyewe ni Msiba. Sijui uyu Archtect wamewatoa wapi ukiacha Company yaan wale individuals they must be genius in architectural field.
Wakenya wamejengewa Temples zile za Mabhuza, Ngazi nyingi...kama mtu ushaona zile Movies za Shaolin utanielewa. Unakuta Kashaolin kanafanya mazoezi ya kuruka ngazi za temple uku amebeba mitungi ya pombe ndo walichojengewa wakenya.




mkuu sijui uliwaza nini eti mitungi ya pombe na mazoezi ya kuruka ngaziNi kweli lakini. Hiyo station ya nai ni gym jamani😂😂😂mkuu sijui uliwaza nini eti mitungi ya pombe na mazoezi ya kuruka ngazi
Yani histation ni ny....ko moja unapandia kweny viaduct nyingine train inajufwata uko ndani.....manina....Station ya Dodoma itakuwa balaa. Na yenyewe treni zitapita juu. Big up kwa JPM kwa kutuletea miradi ya kimkakati. View attachment 1503109



.Hatari sana, yaan uyu Archtect shikamoo...,kitu cha Tanzanite kimeshuka kama kilivyo...TZ tunajenga SGR at the same tunajenga na vivutio vya stesheni zetu.
Nimeona render ya ile stesheni ya Dodoma na yenyewe ni Msiba. Sijui uyu Archtect wamewatoa wapi ukiacha Company yaan wale individuals they must be genius in architectural field.
Wakenya wamejengewa Temples zile za Mabhuza, Ngazi nyingi...kama mtu ushaona zile Movies za Shaolin utanielewa. Unakuta Kashaolin kanafanya mazoezi ya kuruka ngazi za temple uku amebeba mitungi ya pombe ndo walichojengewa wakenya.
😀😀Mchina mshenzi sana, kila alipotoa mkopo wa sgr kaweka matemple yake. Nimeyaona tena nigeriaHatari sana, yaan uyu Archtect shikamoo...,kitu cha Tanzanite kimeshuka kama kilivyo...TZ tunajenga SGR at the same tunajenga na vivutio vya stesheni zetu.
Nimeona render ya ile stesheni ya Dodoma na yenyewe ni Msiba. Sijui uyu Archtect wamewatoa wapi ukiacha Company yaan wale individuals they must be genius in architectural field.
Wakenya wamejengewa Temples zile za Mabhuza, Ngazi nyingi...kama mtu ushaona zile Movies za Shaolin utanielewa. Unakuta Kashaolin kanafanya mazoezi ya kuruka ngazi za temple uku amebeba mitungi ya pombe ndo walichojengewa wakenya.
Hii inapita katikati ya jengo au nimeona vibayaStation ya Dodoma itakuwa balaa. Na yenyewe treni zitapita juu. Big up kwa JPM kwa kutuletea miradi ya kimkakati. View attachment 1503109