Jamaa akaanza kuita wabongo, hapo chachahii comment imekarisha mzungu chini





Sasa sisi tunaaminije kuwa huyo ni mtanzaniaHuyo si wa kwanza omba omba kutoka Tanzania wamejaa miji ya Kenya, sishabikii binadamu mwingine akipitia matatizo kama hayo ila nyie kwa kupenda kuishi in denial mnaonesha mlivyo wapuzi na wanafiki
Katika vitu nakubali Wakenya ni ujenzi wa dual carriageway mkoa kwa mkoa! Viongozi wenu wanajua barabara.
Simba anaanza kuonyesha makucha yake,hii mashine hakuna mpinzani east africa na kati
Mambo mazuri kabisa haya
Okay, acha tutaona updates za ujenzi vile muda unaenda.Jkia-James Gichuru Expressway ni mradi tofauti na Nairobi - Mombasa Expressway.
Jkia to James Gichuru inajengwa na China CRBC na hii ya kwenda Mombasa ni USA (betchel)
Okay, acha tutaona updates za ujenzi vile muda unaenda.
But you guys again mmechemsha sana, siku hizi watu hawajengi mabarabara ya juu. Ni old fashioned hiyo. Kwanza zina haribu view ya mji na kushusha thamani ya majengo kule inapita. Saiv watu wamejikita kwenye BRT na Trams ili kupunguza congestion na matumizi ya private vehicles barabarani.
mnaishi kwa matakwa ya wame zenu wazungu hivyo lazima mkubali lolote wanalolitaka.......mkigoma mtakufa njaa mara mbili ya sasa hamna ujanjaUle jamaa mwenye nundu kichwani alikataa wasichana wajawazito wasirudi shule. In Kenya we do it different. Kila MTU ana haki. View attachment 1502573
leo ndiyo mnaujua ubinadamu,Msichana ata apate mimba 10 ana haki ya kusoma.
Ukipata MTU yeyote anakwambia otherwise anakosa ubinadamu.




miaka yote mlikuwa wapi...? au mlikuwa hamjui kuwa ubinadamu una nafasiHata Dodoma tunachapa ring road 112.3Km dual carriageKwa wale wa kusema Kenya maendeleo yako Nairobi tu..
Hapa ni Muranga county panajengwa dual carriage way 84km through Kirinyaga county & Nyeri county.
Kisumu ndogo hta watu mia mbili hawafikiBibie nataka nikuhamishe kule kisumu ndogo slum,uko tayari?