The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ss huyo anayezaa ni mwanafunzi au mama, kaenda kusoma au kusomea dushe, km akipata mimba ni lazima afukuzwe kila kitu kina sheria zake na lazima ukubali km unataka kuwa padri sharti ucwe na mtoto na km unataka kuwa sister sharti uwe bikra, ss unawezaje kutaka yote?Kuachisha msichana shule sababu ya kupata mimba ni ujinga. Na magufuli ni mjinga kwa kufanya ivo. Huku Kenya hakuna option kama kuacha shule ni either uko shule ama uko shule.
Community policing yenyewe haitakubali ukae bila kwenda shule chief mwenyewe atakukujia. Somesheni wadada zenu jamani.
Huyu mjinga wenu rais magufuli mwenye nundu kichwani atawaachia maafa tu.
Ukijiona unahamu ya kuwa mzazi vua sketi baki na watu wazima wenzako mana huku Tz mifumo ya elimu ipo mingi co mpk ukae darasani au usome Govt school, Magu anakataza watoto wa Govt school kupata ujauzito na co kwmb kakataza wasisome.





