Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujue hii taarifa ya Tanzania kuingia UCHUMI WA KATI itawachanganya sana wakenya kipindi hichi cha COVID-19 maana wamejifungia, mambo yao yamesimama, utalii chaliii, madeni ndo husiseme. Yaani tunaenda kuwafunika kama wamesimama vile
 
Ujue hii taarifa ya Tanzania kuingia UCHUMI WA KATI itawachanganya sana wakenya kipindi hichi cha COVID-19 maana wamejifungia, mambo yao yamesimama, utalii chaliii, madeni ndo husiseme. Yaani tunaenda kuwafunika kama wamesimama vile
Kwahyo unataka kuniambia baada ya kusikia Tz ni middle Income immunity zao zitazd kushuka .
 
Kenya’s tourism revenue collapses

theglobalherald.com
1d



Kenya has lost 80 billion shillings ($752 million) so far in tourism revenue, about half of last year’s total, due to the coronavirus crisis, its tourism minister said on Monday.

Reuters brings you the latest business, finance and breaking news video from around the globe. Our reputation for accuracy and impartiality is unparalleled.
 
Itakua poa sana,halafu mitaani kama tegeta -k'koo/posta wangeleta madude kama ya nyuma hapo 😉View attachment 1494666
Kuna mpango wa “Dar Es salaam Metro” Kama hamuufahamu. Treni za umeme za mjini kwa ajili ya kupunguza traffic jam barabarani na kukidhi mahitaji ya population kubwa ya jiji inayokua kwa kasi. Phase 1 naona wamepanga ianzie Aga Khan hadi Tegeta na treni zitapita juu njia nzima. Station zitakuwepo 13 nazo zitakuwa juu pia. Nadhani huu mradi Magufuli ataanza kuuanzisha akichaguliwa kwenye awamu nyingine. It is really exciting!
 
Kuna mpango wa “Dar Es salaam Metro” Kama hamuufahamu. Treni za umeme za mjini kwa ajili ya kupunguza traffic jam barabarani na kukidhi mahitaji ya population kubwa ya jiji inayokua kwa kasi. Phase 1 naona wamepanga ianzie Aga Khan hadi Tegeta na treni zitapita juu njia nzima. Station zitakuwepo 13 nazo zitakuwa juu pia. Nadhani huu mradi Magufuli ataanza kuuanzisha akichaguliwa kwenye awamu nyingine. It is really exciting!
Itakua poa sana
 
Itakua poa sana
Plan yake iko documented tayari.
D4A71A5B-60D6-4518-89F0-E5F0844BA7DB.jpeg
11FAD76A-717E-40BB-B4FE-D1398798DE14.jpeg
E28C1327-1E9D-4013-90EC-F717BD18FD88.jpeg
 
Nani kakudanganya kua kariokoo ndio market kubwa in the region?. Do u know Eastleigh Nairobi?.... Eastleigh pekee ina mall nyingi kuliko Tz nzima

Huyu jamaa fala kweli, yaani unadhani sehemu kuwa na malls nyingi ndio inafanya kuwa the biggest market? Kaka hivi unajua trade volume ya Kariakoo kwa siku? Tembea kidogo uone toka huko kwenye mabanda ujionee sehemu ambayo kuanzia billionea hadi machinga wote wanapiga hela ndefundefu.
 
Kuna mpango wa “Dar Es salaam Metro” Kama hamuufahamu. Treni za umeme za mjini kwa ajili ya kupunguza traffic jam barabarani na kukidhi mahitaji ya population kubwa ya jiji inayokua kwa kasi. Phase 1 naona wamepanga ianzie Aga Khan hadi Tegeta na treni zitapita juu njia nzima. Station zitakuwepo 13 nazo zitakuwa juu pia. Nadhani huu mradi Magufuli ataanza kuuanzisha akichaguliwa kwenye awamu nyingine. It is really exciting!
Uliileta humu mkuu nakumbuka na mfano wake pia
tapatalk_1592136943840.jpeg
tapatalk_1592138619455.jpeg
 
Ujue hii taarifa ya Tanzania kuingia UCHUMI WA KATI itawachanganya sana wakenya kipindi hichi cha COVID-19 maana wamejifungia, mambo yao yamesimama, utalii chaliii, madeni ndo husiseme. Yaani tunaenda kuwafunika kama wamesimama vile
Bla bla bla bla huu wimbo tumeuskia miaka nenda miaka rudi na gap inaendelea kupanuka
 
Kuna mpango wa “Dar Es salaam Metro” Kama hamuufahamu. Treni za umeme za mjini kwa ajili ya kupunguza traffic jam barabarani na kukidhi mahitaji ya population kubwa ya jiji inayokua kwa kasi. Phase 1 naona wamepanga ianzie Aga Khan hadi Tegeta na treni zitapita juu njia nzima. Station zitakuwepo 13 nazo zitakuwa juu pia. Nadhani huu mradi Magufuli ataanza kuuanzisha akichaguliwa kwenye awamu nyingine. It is really exciting!
Wangefika bagamoyo hili kukuza utalii wa bagamoyo. Maana uwa haitangazwi sana . Lakini kukiwa na kituo cha treni pata vutia sana
 
Wakenya wanampenda JK sana kwakua ndio walikua wanaongoza kuuza madini ya tanzanite enzi za utawala wake ,Wanasema JPM hana lolote sasa waone kua wao ni wazandiki na sio watu wakuwaslikiza kwakua ni watu wa janja janja,infact JPM Ni kiongozi amara anetetea maslahi ta nchi yake na sio kiongozi mwepesi kama wanavyodhani...

Tatabiri miaka mitano ijayo Tanzania kuongoza kiuchumi east and central Africa
 
Back
Top Bottom