The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
We don't have slums to remove that's whyWhen others are celebrating their first flyover,we are busy eliminating slums View attachment 1494509



We don't have slums to remove that's whyWhen others are celebrating their first flyover,we are busy eliminating slums View attachment 1494509



The poorest argument everNyinyi bado ni LDC mpaka yesu ashuke,by the way nilisikia wabunge wa Tz huishi kariokoo kwa sababu ya kukosa makaazi



Wewe kilaza mwenzangu nionyeshe makaazi wanayoishi basiAlisikika Kilaza mmoja Tokea Kibera Akisema
Siku mkijenga makaazi ya bei nafu unitagWe don't have slums to remove that's why![]()
Hayo hapoWewe kilaza mwenzangu nionyeshe makaazi wanayoishi basi
Nimejua tu wewe ni kilaza mwenzangu
Nioneshe ww ya bei nafuu.Hayo ndio ya bei nafuu?
Kwahyo haya ndiyo ya bei nafuuWhen others are celebrating their first flyover,we are busy eliminating slums View attachment 1494509
Leo ni siku ambayo nna furaha sn cz ktk vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni mm The best 007 kuishi ldc yn inakuwaje mjanja km mm niishi ldc?, ndiyo kuna reli ya umeme kuna madaraja ya kila aina kuna umeme wa kutosha kuna maji ya kutosha kuna amani kuna majengo mazuri hakuna slums hakuna ufisadi wa kutisha km kwa wenzetu but ni ldc, yn ktk bakora ambazo Wakenya walikuwa wanafaulu kunitandika basi ni hyo kashfa ya ldc, nilikuwa siamini kabisa km nchi hii ni maskini yn siamini na sitokuja kuamini kamwe, lkn leo chini ya uongozi wa mkuluwole the most African visionary leader a.k.a the magician Dr. John Pombe Joseph Magufuli aibu hii imefutika rasmi na nishaizika ktk kaburi la sahau.
Hiyo ndio tunaita slum mentality, wengi wenu hapa najua huishi kwenye mabanda ndio sababu mnashanga nikisema affordable homesNioneshe ww ya bei nafuu.
Naungana na wew mkuu katima hili...tumesimangwa sana ldc....ilikuw inaniuma sn...leo nachek kwa meno yote..Leo ni siku ambayo nna furaha sn cz ktk vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni mm The best 007 kuishi ldc yn inakuwaje mjanja km mm niishi ldc?, ndiyo kuna reli ya umeme kuna madaraja ya kila aina kuna umeme wa kutosha kuna maji ya kutosha kuna amani kuna majengo mazuri hakuna slums hakuna ufisadi wa kutisha km kwa wenzetu but ni ldc, yn ktk bakora ambazo Wakenya walikuwa wanafaulu kunitandika basi ni hyo kashfa ya ldc, nilikuwa siamini kabisa km nchi hii ni maskini yn siamini na sitokuja kuamini kamwe, lkn leo chini ya uongozi wa mkuluwole the most African visionary leader a.k.a the magician Dr. John Pombe Joseph Magufuli aibu hii imefutika rasmi na nishaizika ktk kaburi la sahau.



Njoooni hukuuuuuAmkeniii Amkeniii...Mzee baba JPM katangaza rasmi muda huu kuwa View attachment 1494521
Let us use common sense😂😂 these housing units won’t eliminate the fact that your city is Africa’s leading slum hub. Nairobi slums are inhabited by millions of Kenyans who live under $1 a day! I wonder how the houses will be affordable to them? Will people pay rent??Hiyo ndio tunaita slum mentality, wengi wenu hapa najua huishi kwenye mabanda ndio sababu mnashanga nikisema affordable homesView attachment 1494550
bila shaka huyo pimbi seven up anaipitia hii habari kiseven downAmkeniii Amkeniii...Mzee baba JPM katangaza rasmi muda huu kuwa View attachment 1494521





NHC mbona inajenga affordable houses across the country?? Au unataka zetu zifanane na hayo mabanda yenu ya kuku??Hiyo ndio tunaita slum mentality, wengi wenu hapa najua huishi kwenye mabanda ndio sababu mnashanga nikisema affordable homesView attachment 1494550
Mjanjq kama Mimi daktari imagineLeo ni siku ambayo nna furaha sn cz ktk vitu ambavyo vilikuwa vinaniuma ni mm The best 007 kuishi ldc yn inakuwaje mjanja km mm niishi ldc?, ndiyo kuna reli ya umeme kuna madaraja ya kila aina kuna umeme wa kutosha kuna maji ya kutosha kuna amani kuna majengo mazuri hakuna slums hakuna ufisadi wa kutisha km kwa wenzetu but ni ldc, yn ktk bakora ambazo Wakenya walikuwa wanafaulu kunitandika basi ni hyo kashfa ya ldc, nilikuwa siamini kabisa km nchi hii ni maskini yn siamini na sitokuja kuamini kamwe, lkn leo chini ya uongozi wa mkuluwole the most African visionary leader a.k.a the magician Dr. John Pombe Joseph Magufuli aibu hii imefutika rasmi na nishaizika ktk kaburi la sahau.


