Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20200701-123039.png
 
Yaani,hii dalili ya wakenya kupotea humu,inadhihirisha jinsi walivyojidharau na kuanza kuiheshimu TZ,wamebaki na kingreza kingi bila akili, sikujua nchi yangu iko vizuri hivi,sikujua kama tutakuja kuingia MIC,JF imenifungua macho,mwanzoni l used to feel bitter,desperate, despair namna wakenya walivyokuwa wakituita kila majina.natamani wakenya walioko humu wawaambie wenzao ukweli kuhusu TZ,japo najua hawataweza kwa aibu!
 
Kuna wale pimbi waliokuwa wanaleta ile screenshot ya map ya Africa ikionyesha kuwa TZ ni LDC. Little did they know kuwa tutakuwa nao sooner than expected. Sasa ni kuchapa tu View attachment 1494256
hawana cha kuongea kwa sasa wamebadili gia wanasema kuwa wao wanakaribia upper middl income

wakenya ni wehu
 
Back
Top Bottom