Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa mujibu wa wakenya, signboard au construction-board inakaa katikat ya barabara inayotengenezwa na si pemben au mwanzo na mwisho wa barabara inayotengenezwa.. 🤦🏽‍♂️
IMG_1593587981.326519.jpg
 
kampuni zilileta tenders za kusupply trains za electric multiple units na ambazo serikali ilipendezwa nazo zilikuwa ni Bombardier ya Canada for TALENT 3 trains na Stadler Rail ya Uswiss for Stadler Euro Dual trains, mpka sasa haijajulikana ni ipi imeshinda tender... (hizi ni habari za chini chini nilizosikia)
i hope walishinda Bombardier
 
kampuni zilileta tenders za kusupply trains za electric multiple units na ambazo serikali ilipendezwa nazo zilikuwa ni Bombardier ya Canada for TALENT 3 trains na Stadler Rail ya Uswiss for Stadler Euro Dual trains, mpka sasa haijajulikana ni ipi imeshinda tender... (hizi ni habari za chini chini nilizosikia)
i hope walishinda Bombardier
Zote zina specs sawa?
 
kampuni zilileta tenders za kusupply trains za electric multiple units na ambazo serikali ilipendezwa nazo zilikuwa ni Bombardier ya Canada for TALENT 3 trains na Stadler Rail ya Uswiss for Stadler Euro Dual trains, mpka sasa haijajulikana ni ipi imeshinda tender... (hizi ni habari za chini chini nilizosikia)
i hope walishinda Bombardier
Zote zina specs sawa?
 
kampuni zilileta tenders za kusupply trains za electric multiple units na ambazo serikali ilipendezwa nazo zilikuwa ni Bombardier ya Canada for TALENT 3 trains na Stadler Rail ya Uswiss for Stadler Euro Dual trains, mpka sasa haijajulikana ni ipi imeshinda tender... (hizi ni habari za chini chini nilizosikia)
i hope walishinda Bombardier

Wanaweza chukua za abiria Talent 3 na za mizigo Euro Dual Trains

IMG_9565.jpg



IMG_9566.jpg
 
Back
Top Bottom