NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,747
- 49,632
Picha ya juu ni wapi?
itakua mbezi hiyo.
Picha ya juu ni wapi?
NAKUMBUKA WALICHOTUFANYA MWAKA 1977, BAADA YA KUHAKIKISHA UGANDA NA TANZANIA WAMESHACHANGIA VYA KUTOSHA KWENYE BANDARI YA MOMBASA NA UWANJA WA NDEGE WA KENYATA MZEE KENYATA KAMSUPPORT AMINI NA EAC IKAVUNJIKA, NDEGE KARIBU ZOTE ZILIKUWA JKIA , WATANZANIA TULIFANIKIWA KUTOROSHA SIJUI NDEGE MOJA TU. KWA MTANZANIA MAKINI, TUNATAKIWA TUISHI KINAFIKI NA KENYA KAMA WANAVYOISHI NA SISI, SASA NI WIN WIN SITUATION UPENDO WETU NA KUJALI MAJIRANI WAPUMBAVU UMETUKOST SANASio watu
BY PASS ya Kibambaitakua mbezi hiyo.
Oh!!! Vijana wa siku hizi wanatumia framework wengi hawataelewa hii.Code:#include <stdio.h> main (void) { int Tanzania_mic = 1080; if ( Tanzania_mic == 1080 ) { printf("Usiwe na wasiwasi Simon, WB wata-declare leo\n"); } }
BY PASS ya Kibamba
Kwenye ziwa Victoria vibatapakaa vyombo vya usafiri vya Kitanzania
Hapo Iron haijaanza kuguswa hata ..tukianza kuchimba itapunguza sana import za Chuma ..na tutaanza ku export sasa..Yaani itakapofika 2023 hapo, tutakapokuwa tumekamilisha miradi hii inayoendela sasa, GDP itaanza kupaa kwa kasi sana na itabidi economy rebasing ifanyike haraka.
Pia Tz tunakiasi kikubwa cha Li na kutokana na mahitaji makubwa ya madini hayo duniani, vifaa vingi portable vya umeme kwa sasa vinatumia Li+ batteries, tutatengeneza pesa ndefu sana. Kwa umeme tutakao kuwa nao, tunaweza kuanza kuchima na kuchakata Li.
Tunashukuru awamu hii kwa kuweka sheria nzuri za madini. Tanzania ni Tajiri sana, aisee.
Hio ni overpass kwenye barabara ya mbezi -kibahaPicha ya juu ni wapi?
Sisi tukipiga hesabu za 50yrs to come,mtu anaongela GDP iliyojaa madeni lukuki na isiyoakisi hali ya mwananchi wa kawaida,basi huwa nacheka tu.Hapo Iron haijaanza kuguswa hata ..tukianza kuchimba itapunguza sana import za Chuma ..na tutaanza ku export sasa..
Upanuzi wa barabara unaenda kwa kasi sana mitaa hiyo,mkuu NDINDA inabidi apite maeneo ya makumhusho pale apige aerial moja matata,kuna kipapi cha kaki pale chini kitapendeza sana na yale majengo manne ya zip.
Coding hzo c mchezo [emoji3][emoji3][emoji3]Code:#include main (void) { int Tanzania_mic = 1080; if ( Tanzania_mic == 1080 ) { printf("Usiwe na wasiwasi Simon, WB wata-declare leo\n"); } }
Kwahiyo juu ya hilo daraja itapita road ya kuelekea mloganzila au?Yes ni kibamba njia panda ya kwenda hospitali y mloganzila
HeaderCode:#include main (void) { int Tanzania_mic = 1080; if ( Tanzania_mic == 1080 ) { printf("Usiwe na wasiwasi Simon, WB wata-declare leo\n"); } }