Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uwa naangalia tuko busy kupost majengo ambayo ndani for sure hayatumiki . Kuna majengo mengi hayana wapangaji sio Dar hata huko kesho wakati wakulima wanapalilia kwa mikono . Zinatakiwa mashine rahisi ambazo zitakua affordable kwa kweli kilimo kitakua na faida sana . Kwa wakulima wengi wanashindwa kukua kwa sababu ya mambo ya palizi ni gharama na dhana duni . Wanaweza kukodia au kununua treka za kilimo lakini tatizo Lipo kwenye kupalilia haswa na magonjwa ya mimea
Majengo kukosa wapangaji hata nchi za 1class yapo.na yanaendelea kujengwa huko hata hapa tz,point ni nini!!!

Kila mtu asimame alipo kujikwamua.ni wakulima hao hao wanaouzia mazao ya biashara shambani,yaani wanakosa usimamizi na elimu tu.
 
Hili swala la Non permanent Seat ya UN security council kwa jinsi kura inavyopigwa kwa siri halafu mtu anakuja na List fake, hata Kosovo eti ni mwanachama na watu wanatupia matusi kila aina kwa TZ.
Duh, Ndio mjue kuna watu hawatutakii mema hata siku moja.
 
Hili swala la Non permanent Seat ya UN security council kwa jinsi kura inavyopigwa kwa siri halafu mtu anakuja na List fake, hata Kosovo eti ni mwanachama na watu wanatupia matusi kila aina kwa TZ.
Duh, Ndio mjue kuna watu hawatutakii mema hata siku moja.
Mi niliamua kuwajibu wanachotaka kuskia maana moderators wana-disappoint kuacha ile nyuzi!
 
IMG_9143.jpg
 
Hili swala la Non permanent Seat ya UN security council kwa jinsi kura inavyopigwa kwa siri halafu mtu anakuja na List fake, hata Kosovo eti ni mwanachama na watu wanatupia matusi kila aina kwa TZ.
Duh, Ndio mjue kuna watu hawatutakii mema hata siku moja.
Wakati ule Amina Mohamed anagombania u SG wa AU,...walishinda huku wakiomba kura na endorsement lkn mwisho wa siku kumbe hawako vizuri kidiplomasia eakashindwa....sasa wameotea vitu ambavyo sisi tulishakuwa mwanachama miaka ya 80 na tukaweka historia ya Veto ya mwisho iliyoamua Uchina kuendelea kuitawala Taiwan,,,tukapiga Veto iliyofanya Uchina kuingia UN.......waweke basi Records km sisi.
 
Mi niliamua kuwajibu wanachotaka kuskia maana moderators wana-disappoint kuacha ile nyuzi!
Mods nao ni watu wana misimamo hasi na huu utawala,chochote kibaya kinachoandikwa dhidi yake,wanaki label kama uhuru wa maoni.

Niliishawashtukia muda.
 
Back
Top Bottom