Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mwenye data kama hii kwa bara nzima kwa mwaka 2019-2020
najua tumewaacha mbali in 2019/2020
hapo kwa SA na Lesotho kunashangaza
View attachment 1481095


Kenya ni pathetic, yaani capitalistic economy system kwa zaidi ya miaka 50 lkn bado < 20% ndiyo wana umeme? Hiyo miaka 50 ya Capitalism mlikuwa mnafanya nini? BTW, TZ yetu imefungua na kuanza Capitalism late 90s wakati Kenya ni pure Capitalism tangia siku ya kwanza lkn hakuna maendeleo, shida ni nini?
 
Approximately 13K, that means an average, less or higher. Kwanini unachukua less na kuacha higher side?, to be fair, just take exactly 13K.
Ingekuwa higher angesema mko above 13k. But because you are below that number, ameround off the numbers to the nearest thousands to look better. So as of now you are still below 13k.
 
Hiyo barabara inawauma kweli kweli. Tanzania hatawai jenga kitu kama hiki. So you just relax and be spectators.
Hata nyie kenya hamuwezi jenga kitu kama hiyo,hata kama ikijengwa bado itamilikiwa na mchina for 30 years, enyewe wakenya ni mbumbumbu aisee khaaa!!

Wajinga nyinyi by king kaka is dedicated to you
 
English yenyewe imechanganyika na kijaluo, njaa na umasikini, "Kenya not yet Uhuru"
Argument yenye imechoka sana, tafuta taarifa negative on Kenya ya ku post Kenyan news section to make Tz feel better wacha kelele
Tanzania's mentality in Africa
FB_IMG_1592291061773.jpg
 
Less?wacha kujitia pressure kijana,unasoma maandishi unayatafsiri kinyume ili tuanze debate za kitoto...unaambiwa 13k zina lami tayar na 2000km wakandarasi wako kazini wewe unasema ujinga gani man up
Nimemwambia hapo kuwa anatak kujitoa 7faham n kuleta ubishabo wa kindagate
 
Wale mapimbi walio kuwaa wanabisha kuwa Tz haina tarmac road 13000kms bado wapo...na U/C 2000km...hii cyo nchi ya kutania tania kwa sasa anae bisha akaskiliz hotuba ya rais kuanzia dakik 56...kupitia global tv online
Hapo Dodoma Govt city roads and ring roads hazijaanza!
 
Nyie ndio wapumbavu kupindukia baada ya mkoloni kuondoka u are colonized by CCM kishenzi, both body and soul(mind), wangekua na uwezo wangeshika na spirit zenyu, ila mwenyezi Mungu na hekima yake isio kua na kipimo ni mwema sana! ndio maana wanyenyekevu kwake wameona mwanga na wanakombolewa, can't be fooled, they can read in between the lines, dissecting propaganda from reality. Na ni wachache mno! The rest tabu tupu
It will take them a century to win "social and economy freedom"...hawajui hata wako wapi...wanajichukia wenyewe.
 
Nairobi haiwezani na dar,yaani vitu vilivyofanyilika dar zamani ndo vinafanywa leo nairobi,Dar es salaam sidewalk zipo hadi kwenye streets,hiyo ni yombo
 

Attachments

  • Screenshot_20200617-115147.png
    Screenshot_20200617-115147.png
    103.2 KB · Views: 7
Back
Top Bottom