Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz ndiyo nchi pekee miongoni mwa nchi chache Africa yenye uwezo wa kupindua matokeo ya kiuchumi mda wowote hivyo wakina onyango wakikenya kaeni mkao wa kula kwa sasa mpo nyuma yetu sana, Tz tuna kazi ya kutengeneza miji miwili Mji wa kibiashara ambao ni Dar es salaam na mji mkuu wa nchi wa kiserikali ambao ni dodoma nyie mpo kukomaa na hako kanairobi..... Tushawachapa soon kipindi kinasogea dawa yenu inaendelea kuiva.... na hatutodiscuss tena na nyie kupitia huu uzi....... tutawaachia vitukuu wetu wabaki kupitia historia kwa kuisoma hii thread....

TANZANIA ndiye mfalme.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I like your wishful thinking[emoji23][emoji23] balaa! Outside Dar do you have a city unaeza linganisha na Mombasa in all fronts; economic output and infrastructure [emoji23] wewe unaona lipstick ya Dar unafikiria ndio basi sasa, Kenya na Nairobi mumeipiku[emoji23][emoji23][emoji23],

Tanzania is coming up fine but kwa ujumla bado saaana kwa Kenya.,
Some sections of Mombasa[emoji116][emoji116]
images-9.jpg
images-8.jpg
images-5.jpg
images-7.jpg
tapatalk_1591337303048.jpg
tapatalk_1591337356244.jpg
tapatalk_1591337343765.jpg
tapatalk_1591337365442.jpg
tapatalk_1591337328089.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I like your wishful thinking[emoji23][emoji23] balaa! Outside Dar do you have a city unaeza linganisha na Mombasa in all fronts; economic output and infrastructure [emoji23] wewe unaona lipstick ya Dar unafikiria ndio basi sasa, Kenya na Nairobi mumeipiku[emoji23][emoji23][emoji23],

Tanzania is coming up fine but kwa ujumla bado saaana kwa Kenya.,
Some sections of Mombasa[emoji116][emoji116]View attachment 1479630View attachment 1479631View attachment 1479632View attachment 1479633View attachment 1479634View attachment 1479635View attachment 1479637View attachment 1479638View attachment 1479639
hiyo ndiyo fact mkuu hakuna cha ajabu hapo kenya zaidi ya hiyo fake GDP..... isiyo endana na maisha yenu....

hautorudi mlikuja na mamillionare mkapotelea mbali,mlitamba na airport sasa mpo kimya mlichobakiwa ni wingi wa ndege tu tena ambazo ni leased,mmekuja na gari moshi ya 1880's soon mtakaa kimya ..

mtakachobakia nacho angalau kwa mda mrefu ni mbio za nyika na hiyo yote sabanu mnafanya choice nzuri ya wakimbiaji na kidogo mnazingatia......


we jamaa ni wavituko sana.....
 
hiyo ndiyo fact mkuu hakuna cha ajabu hapo kenya zaidi ya hiyo fake GDP..... isiyo endana na maisha yenu....

hautorudi mlikuja na mamillionare mkapotelea mbali,mlitamba na airport sasa mpo kimya mlichobakiwa ni wingi wa ndege tu tena ambazo ni leased,mmekuja na gari moshi ya 1880's soon mtakaa kimya ..

mtakachobakia nacho angalau kwa mda mrefu ni mbio za nyika na hiyo yote sabanu mnafanya choice nzuri ya wakimbiaji na kidogo mnazingatia......


we jamaa ni wavituko sana.....
Hamna chochote nje ya Dar, wewe unajua maana ya GDP kwanza?., what is your economic output ya kweli basi., how much is your port contributing to your economy? Airports revenue?, banking sector? Telecommunications? etc. Outside Dar no city can compare to Mombasa, both economic output na infrastructure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ujenzi wa oxygen production plant
View attachment 1478310

stay updated... naleta miradi yote inayotekelezwa au inayotazamiwa kutekelezwa Tanzania

nitaanza na mtandao wa reli... kuna reli wanataka kujenga kutoka CBD mpka kigamboni kupitia nyerere bridge
hebu elezea hii mkuu kidogo. hii itasaidia sana ku develop kigamboni
 
Back
Top Bottom