Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwakutoa views zangu na ningependa serikali ione hili

Nchi yetu igawanywe kwa zone 7
Nothern Zone- Mwanza
Southern zone- Mtwara
Eastern zone-Dar/Pwani
Central zone Dodoma
South west-Mbeya
Northeast-Arusha
North west-Kigoma

Hizi zones zote ziwe na Sports Complex/Villages zitazokuwa na

Indoor Stadiums..Za Michezo ya basketball,Netball ,Volley ball na Music Shows

Football Stadium za atleast 20k seats

Na michezo mingine na academy ziatazo integrate michezo ya zones hizo na kuratibu kutafuta na kukuza vipaji..wa zones ..na kukuza michezo kwenye zone hizo

Pia tufufue THT ..na ku improve vipaji vya music na movie production

Vyuo vya UD na UDOM vi improve ufundishaji wa TV and Film making and Acting kwa kutafuta mikataba na ma kampuni makubwa ya nje ushirikiano wa walimu na scholarship etc
Hii ni idea nzuri ila tuanze mdogo mdogo maana miradi mikubwa still inataka hela ndefu..
Wazo zuri kwa siku za mbeleni
 
4ACD2036-2B97-44A8-8965-357E4CBD406C.jpeg
 
Bwawa la kufua umeme la Ethiopia na Mto Nile inaweza kuleta vita kati ya hizi nchi mbili za Ethiopia na Egypt. Egypt ni kama wamejimilikisha Mto Nile
View attachment 1478820
Tweet ya billionaire wa Misri
View attachment 1478821
other tweets



hii kitu mbaya sana, imagine umejenga bwawa lako kwa matrilioni ya hela afu majamaa hawataki ujaze hilo bwawa
yote ni kheri kwetu hasa wakitwangana
 
Kwakutoa views zangu na ningependa serikali ione hili

Nchi yetu igawanywe kwa zone 7
Nothern Zone- Mwanza
Southern zone- Mtwara
Eastern zone-Dar/Pwani
Central zone Dodoma
South west-Mbeya
Northeast-Arusha
North west-Kigoma

Hizi zones zote ziwe na Sports Complex/Villages zitazokuwa na

Indoor Stadiums..Za Michezo ya basketball,Netball ,Volley ball na Music Shows

Football Stadium za atleast 20k seats

Na michezo mingine na academy ziatazo integrate michezo ya zones hizo na kuratibu kutafuta na kukuza vipaji..wa zones ..na kukuza michezo kwenye zone hizo

Pia tufufue THT ..na ku improve vipaji vya music na movie production

Vyuo vya UD na UDOM vi improve ufundishaji wa TV and Film making and Acting kwa kutafuta mikataba na ma kampuni makubwa ya nje ushirikiano wa walimu na scholarship etc
Hii ingekaa sawa sana...serkali yetu ni sikivu.Maono yako yatasikika.
 
Back
Top Bottom