Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie mumekwisha..Nchi ishapoteza muelekeo yaan mnaomba mkopo kulipa madeni.

Hapa ukiwaambia wakenya watume masoko yao ya kisasa kama haya yanayojengwa TZ watabaki kutuma shopping mall[emoji1787][emoji1787]...ukiwauliza je mlala hoi ataenda nunua nyanya shopping mall..[emoji1787][emoji1787]
Masoko dyo nini sasa,huwa twafanya shopping huko kwa malls, hahaha
 
IMG_8796.jpg

IMG_8797.jpg

IMG_8798.jpg
 
Lengo ni kukurekebisha ile kauli yako kwamba Serikali haiwezi kufanya biashara. Hili la sasa ni " Negotiable ", wewe unavyofikiria sio kila mmoja inaona hivyo, kwahiyo ni haki yako kufikiria unavyofikiria, na pia wale wenyekufikiria tofauti na wewe pia ni haki yao, tusibiri tuone ni upande UPI utakua sahihi.
Mkuu huyo fala achana naye, kwanza hajiamini na ndiyo maana anadharau mpk wasomi wa Tz, wkt Jpm anawaamini na wanaonesha kuweza, huyo hajiamini na sidhani kama anaweza kuongoza japo familia.
 
Back
Top Bottom