Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tuambie hapo ni nairobi

Na wenyewe siku hizi wanaendeshea upande huo

Adjustments.jpg
 
Na wameshindwa kujenga, miaka mingapi sasa?, poverty mind, mnangoja usaidizi kutoka nje? I knew on delivering nyie wanyonge., 2020 ndio hii inapita bado mko below! Thought many of you projected 2020 mutakua mumefunga mchezo 3level interchange, SGR, bridges, vigorofa na BRT zinawapumbaza deadly masikini wanahurumisha kweli

Mwaga povu yote leo, hatujawai samehewa madeni nyie wanyonge in Africa, sauti ndio kubwa tu, empty debes
Hata nyinyi mmewahi kusamehewa madeni mengi tu na US,ila hatupigi kelele,hivi more anaume gani unaemwongilea humu wakati sisi ndio tuna wlaisha?Bitter truth,TZ ndio babalao hapa EA kwa miaradi,tumewanyanganya pipeline,mmebaki kulialia,tunajenga bwawa kubwa kuliko yoote hapa EA,tunazalisha chakula more 126% of our consumption wakati mnakufa njaa na kupewa misaada.hakuna kitu kibaya kama kuomba msaada wa chakula kwa mwanaume mwenzio,utadhraulika na mke wako.sisi ndio tuna BRT hapa EA,na ina operate,nyinyi hamna uwezo wa kujenga hata 1km ya barabara kwa pesa yenu binafsi bila mkopo.
 
Uchumi wa kweli mitanzania should join churchil show, day dreaming na vichekesho ndio zenyu,
Poverty is still your middle name ukubali ukatae, facts are overwhelming, ukiingia Dar it is too visible, low life ni over 70%, of which it is data from propagandist CCM govt, so wale walio taja eti ni 90% lazima watakua sahihi., ccm si wakuaminika. wachana na slums zetu, wale wanaishi pale wako na sababu zao hauwezi elewa mkenya kamwe. Kenya sihami
Eti wanaoishi slums hapo Kenya wanasababu zao?zitaje hapa kama sio ufukara uliokithiri ni nini?
 
hiv hii akili wanaitoa wap?
curfews 9pm-4am?? kwamba kirusi kinasambaa sana mda huo 🤦🏽‍♂️

Ni curfew ya mikopo maana maambukizi ndio kwanza yanaongezeka, nahisi hivi karibuni watapata mkopo wa tatu
 
Buda boss I know many slum dwellers who earn good salaries, and can afford a 15k to 25k apartment, but wanaishi pale ili wa save more money to establish themselves in their home counties. Most save and build nice homes kwao mashambani. Wengine come from good family backgrounds, mjini wanaenda ku hustle sio ku starehe., they make money but live in cheap houses to save and invest outside Nairobi then they leave., pengine wenye kuzaliwa pale are the real ghetto people, which are not many, wengi ni hustlers from masginani and as far as Burundi and Congo, Mathare utapata wa Ethiopia kwa wingi wamekimbia makwao wanabangaiza pale na waBurundi pia. Watanzania wengi wako Kibera na Kawangware(hapa unaeza pinga but it is very true), I know some ni boda boda riders operating within south C na Nairobi west estates, na wengine wana tembeza vitenge mjini, na hawasumbuliwi, ingekua ni wakenya wanafanya vile Tanzania mngekua mmewafukuza
Kuna slum dwellers richer than you, amini usiamini, jamaa ako na plan yake., anyway wengi wenyu hampendi ukweli, you may not believe what am saying, so take it or leave it. Have a blessed Sunday.
Eti wanaoishi slums hapo Kenya wanasababu zao?zitaje hapa kama sio ufukara uliokithiri ni nini?
 
You are too poor to feed anyonekama mnatulisha tupe chakula bure? hamuwezi, wakulima wenyu masikini watakufa kwa ufukara, Kenya ni soko kwao ili wapate hela kidogo wanunue sukari na kupeleka watoto shule., mko ovyo kwa sasa, wacha kupiga kifua, fanya kazi, shughulikia hali yenyu na wachana na Kenya tushughulikie hali yetu. We know our weaknesses nyie mnaficha na kujifanya mko sawa, mficha uchi hazai
Hata nyinyi mmewahi kusamehewa madeni mengi tu na US,ila hatupigi kelele,hivi more anaume gani unaemwongilea humu wakati sisi ndio tuna wlaisha?Bitter truth,TZ ndio babalao hapa EA kwa miaradi,tumewanyanganya pipeline,mmebaki kulialia,tunajenga bwawa kubwa kuliko yoote hapa EA,tunazalisha chakula more 126% of our consumption wakati mnakufa njaa na kupewa misaada.hakuna kitu kibaya kama kuomba msaada wa chakula kwa mwanaume mwenzio,utadhraulika na mke wako.sisi ndio tuna BRT hapa EA,na ina operate,nyinyi hamna uwezo wa kujenga hata 1km ya barabara kwa pesa yenu binafsi bila mkopo.
 
hatuvitaki, we have our own in a unique way natunajivunia. Mnajikaza sana to put your best foot forward but still no meaningful progress., picha zitembee kaka wacha kelele
vitu vyote unavovitaja hamuna ndio maana uchungu umekukamata ohh sisi GDP kubwa mavi ya kuku



 
Hiyo propaganda ya CCM works on retard mindset kama yako, hapo ujanja wa serikali yenyu masikini tunaitambua, wamewashika kimawazo watawatala hadi mshike adabu. Vyanzo vya kutega uchumi isn't enough to meet key budgetary allocations sembuse miradi? I am a critical thinker kaka, baki na shabiki za kipuzi
Mwanaume ni kutumia pesa yake mwenyewe kwa miradi mikubwa kama ununuzi wa ndege, ujenzi wa bwawa kubwa la UMEME, SGR na madaraja. Tabia ya kupenda kuomba kila mradi ni tabia ya mashoga.
FB_IMG_1549015848195.jpg
 
Kenya surpassed Angola as sub-Saharan Africa’s third-largest economy in dollar terms, according to International Monetary Fund estimates. Angola has contracted every year since 2016 as oil output declined..

kila sehem mafuta yamepungua gharama na in terms of dollars Angola wanaangukia pua.. mafuta yakirudi wanarudi nafasi yao. pia ujue uchumi wa kenya hautegemei mafuta sana!
World oil prices started declining late last year due to coronavirus pandemic. The article says Angolan economy started declining from way back in 2016. At that time, World oil prices were still stable.

Uchumi wa Kenya hautegemei kitu lolote in particular. It is by the way one of the most diverse economies in Africa.
 
Hiyo propaganda ya CCM works on retard mindset kama yako, hapo ujanja wa serikali yenyu masikini tunaitambua, wamewashika kimawazo watawatala hadi mshike adabu. Vyanzo vya kutega uchumi isn't enough to meet key budgetary allocations sembuse miradi? I am a critical thinker kaka, baki na shabiki za kipuziView attachment 1471075
Hahahaha, Tanzania sio Kenya ambako pesa yote inaingia mikononi mwa politicians, Kenya isingekua rushwa na kulipa mishahara hata kwa MCAs mngeweza kufanya mambo makubwa wenyewe bila kukopo.

Hivi ni nchi gani ya dunia ya Tatu (developing country) inayotoa ulinzi wa 24/7 kwa magavana wote, hata mabwana zenu wamarekani hawafanyi hivyo. Pesa yote mnatumia ktk matumizi ya kijinga, ndio sababu mbashangaa mkiona tunanua ndege na kujenga bwawa kubwa la UMEME kwa pesa yetu. Failed state ninyi.
 
Back
Top Bottom