babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Feelings zake nazifananisha na ule msemo wa kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa majiKila kitu ulichoandika ni UPUUZI. Feelings zako hazimaanishi kuwa unachosema ni kweli. Nchi yetu ni mwenyekiti wa SADC na kuna fursa nyingi tu ambazo tunazipata kutokana na nafasi yetu kama kusambaza dawa zetu za bohari ya dawa ya taifa ( MSD) pia kusema kuwa EAC tutaambilia patupu, ni Nani anayeongoza kwa project za kimkakati? Sisi Ndio tuliwaibia dili la pipeline kutoka UG, Rwanda kachagua Central corridor kuunganisha SGR yake na bado sisi Ndio tunaongoza kwa project zenye thamani kubwa ya ujenzi EAC. Lia kama unataka ila hakuna utakachosema kitakachobadilisha ukweli kuwa Tanzania is already eclipsing your shitty nation.
