komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Leta babaUmesoma alichoandika!?
Mbona nyie wakenya ni hopeless sana!?
Leta babaUmesoma alichoandika!?
Mbona nyie wakenya ni hopeless sana!?
Hii pesa Kenya unanunua motorcycle



yani 80k mazee ni hela mafuta, jamaniHuyo ndivyo alivyo huyo mtoto wa mombasa huwa hasomi anajibu tu km hana malindaUmesoma alichoandika!?
Mbona nyie wakenya ni hopeless sana!?



Akirudi nitag, Asante kwa kutujuza bei Za bodaboda kwenu
Vipi ukijilinganisha na hwa hapa chini kuna unafuu wowote unauona ?
View attachment 1466933
View attachment 1466934



Hapana nimeona hii😂😂😂👇👇👇
Sumbawanga
Ujue Tz kwa hapa tulipofika kwakweli inashangaza sana, yn miradi mingine mikubwa kama hii wala haizungumziwi lkn kumbe ipo, heheheheheeee tunackia imekamilika tu, hili ni jambo la kupigiwa mfano sn yn kila kona kuna miradi ya adabu, kweli tunakwenda kwenye real middle Income by decentralizing developmentSumbawanga


Wakenya naomba mu enjoy mwisho mwisho hii battle cz after this year will be unrealistic to compare Ur country with ours, as far as level of development is concerned.Mdudu ndani ya kokwa kaingiaje? 🤣
Mabasi yamenogesha balaa.
Hapa wapi mbn dongo jekundu hv km nairobi
Naomba urudishe hii picha ulikoitoa unless uzoom utuambie ni wapi
Tukishamaliza miradi yetu ya kimkakati, ss ndiyo kazi rasmi ya kuitafuta nchi ya ahadi inaanza, mbn watajuta kumfahamu Magu, mana tumepiga pini kila angle mfano kwenye Avocado crop now hakuna kuja kuchukua na kupiga lebo kwenda kuwaongopea wazungu kwamba linatoka kenya, now straight from Tanzania to abroad maanina, this is new Tz, a.k.a industrialized state, watajua hawajuidadeki yani kenya hapa itawachukua miaka 100![]()





Sumbawanga

