Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_8532.JPG



IMG_8534.JPG
 
Kipindi kile mfugale flyover inajengwa hizo culverts zao zote walizibadili jina na kuziita flyovers, leo Ubungo interchange inawaumiza makalio tena wamezihamishia kitengo cha interchanges [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]
 
Utajuaje na hamna?
Huko kwenu vp hali ya covid-19, cc wamebaki wanne tu huku nao nadhani watakuwa washaondoka, vp huko kenya? nchi inaandamwa na magonjwa kibao mpk ya aibu km cholera [emoji3][emoji3][emoji3]
 
humiliki hata Choo hapo Punguza shobo

Halafu hizo nyumba za kawaida sana gated community zipo Tanzania nzima, maafisa wetu wanaishi kwenye mazingira ambayo ni ndoto kwenu ninyi kufika

Dodoma

Hasira peleka Mwananyamala unapoishi kijana. Kama Dar ndio hamna gated communities sasa tanzania nzima ndio zitatoka wapi? Hata mimi naweza kukuletea gated communities in Eldoret, Kisumu na Nakuru. That doesn't mean ziko Kenya nzima. The fact is, gated communities haziko Dar ila Nairobi ziko kila mahali. A bitter pill to swallow
 
Back
Top Bottom