Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha ujinga, nairobi ni kichaka cha poor roads View attachment 1464617

hadi hamu ya vitumbua inaisha. Sasa gari ikitoka hapa ndio inaenda kupaka lami yao ile rangi tunayoijua. Moja ya “ The Study” findings.


IMG_8445.JPG
 
Jamani mmemckia nicxie hukuu, naomba uthibitisho wa hii kitu kwa wapenzi wa twitter, binafsi co mpnz kivile so cwez kubisha, but on the ground wakenya huwa hawapendani and that's why wamekuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe ikihusishwa na ukabila, ss utasemaje mnapendana huko twitter? Hayo ndiyo maigizo yenyewe ya kwny mitandao.
Jaribu twitter uone
Muulize idris sultan
 
dar port expansion 350m usd world bank soft loan

tanga and mtwara port expansion over 200m usd financed by gvt of tanzania

modern and biggest slip way in east africa located in mwanza 16m usd financed by gvt

building of new modern ship in mwanza over 40m usd financed by gvt

renovation of butiama and victoria more than 17m usd financed by gvt

kigongo busisi bridge 3.5 km over 340m usd financed by gvt
Dar port niliskia siku hiz meli kubwa zinaweza kuhudumiwa zaidi ya nne kwa wakati mmoja ni kweli ?
 
Heheheheheeee nicxie bhn, mbn ni tofauti sana, yn hii ndo density ya kulinganisha na Dar , ila muwashukuru sn foreign investors japo kuwajengea hayo ma cages hapo mjini la cvyo cjui ingekuwaje, mana me naleta density ya towers we unaleta appartments, binadamu hawajawahi kuacha vituko
 
Nyie ndo mana waganda wanawamalaba, mana mnadandia sn treni ukidhani ni dizeli kumbe mwendo wa stima, uliza kwanza chanzo
Chanzo na wakati unashangazwa na hyo solar
Mpka umefanya kuizungushia kaduara ndio tukuone na wewe umjuzi sana..ona sasa umeumbuka
 
I was shocked to hear him ask that question. Na vile wanajifanya wajuaji!
Wacha mazee, nlipoona comment yako ilinibidi nirudi juu haraka haraka nione km ka pist pumba gani..
Yani nimecheka sana, huyo jamaa anaishi katika vile vijiji vya mwanza so hawezi elewa..
 
Back
Top Bottom