Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heheheheheeee kuna mtu aliikimbia hii thread ila baada ya kuona moto umewaka humu akatia pua yake ikakatwa, huyoo kakimbia na hawezi kurudi tena humu, mwengine kuna uzi fulani eti akajifanya mwehu akasema hyo ubungo interchange haifunguliwi kila siku inajengwa, kumbe wkt anaongea hayo mzigo ushaachiwa tukampiga nao aka sarenda, ila kuna mwehu mmoja humu mzee wa mjengo anatuzoom af anakausha, mzee wa BRT na mjengo wa maana, mjinga sana
 


EZR1DdPXgAEquJ-


EZR1Df5WoAcsBnn


EZR1Df_XQAE_B5F
 
Back
Top Bottom