kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
Kwani hapa ni Nairobi?
Kwani hapa ni Nairobi?
Hata hii ya mwenge ilidelay kutokana na BRT since mabey bridge moja ni risk kuweka lanes zaidi ya mbili. Ili kufanikisha hilo inatakiwa walaze three bridges parallelWasije kusahau mfumo wa brt ,hata daraja la salender jipya sijui kama wamezingatia brt ? maana mabasi yanafaa kupita hapo ndiyo fahari yetu
Ni Wapi nimelinganisha Nairobi na Singapore? Wewe kweli umeishiwa
Ni Wapi nimelinganisha Nairobi na Singapore? Wewe kweli umeishiwa

Utajua hujuiYa Mombasa ipi au ile ndoto ya Likoni![]()
Mbona unapost kitu hujui ni wapi??
Najua ni vigumu kukubali ila hata wewe unajua green spaces in Dar zinahesabika.
Hebu lete render tuithaminishe mana u r a master of rendersUtajua hujui
Ndiyo maana yake, kwa Dar green spaces ni nadra sana maeneo ya mijini labda nje kdg ya mji ndo utazikutaNajua ni vigumu kukubali ila hata wewe unajua green spaces in Dar zinahesabika.
Approach waliyotumia kufanya barabara ziigawe terminal inasadia sana kuaccommodate wasafiri wengi. Nlitamani ile ya Mbezi Luis pale mabasi yanapotumia kuingia kwenye jengo ndo ingekua highway then kila upande ungekua kama terminalBe ready kuwa-expose!
BTW mbona cha kawaida sanaaa unaweza kukuta gharama yake ni kubwa kuliko Mbezi bus station! Angalia hii bus Terminal
![]()
Oshodi Transport Interchange
Buhari to Unveil $70m Oshodi Transport Interchange - THISDAYLIVE
Akitaka kuitumia new york kama reference ahakikishe hawana slum kwanzaMkibinywa makender mnaanza kuitaja New york
Usisahau pia beautiful Dar es salaam ni new York ya east and central Africa![]()
Pole sana buda hili janga la slum linakudhoofisha sanaI told you to use your common sense, not Google. This one below is also from Google. So which one is telling the truth between these "two Googles"?View attachment 1464148
Wacha ujinga, nairobi ni kichaka cha poor roadsMbona unapost kitu hujui ni wapi??


Topic closed. Karibu Nairobi upigwe na kibaridi ukifurahia mandhari tulivu ya miti na recreational parks. Miezi za sita na saba huwa ni msimu wa baridiNdiyo maana yake, kwa Dar green spaces ni nadra sana maeneo ya mijini labda nje kdg ya mji ndo utazikuta
We are in different culture, we are in love with density, never seen in East and Central of AfricaIt doesn't take a lot of effort. It blends in naturally View attachment 1464609View attachment 1464614View attachment 1464616View attachment 1464618View attachment 1464620View attachment 1464621View attachment 1464622View attachment 1464625


Hahahaha nikitaka baridi Tz lipo naenda Iringa, Mbeya au hata moshi, kuna baridi kule Nairobi ikasome.Topic closed. Karibu Nairobi upigwe na kibaridi ukifurahia mandhari tulivu ya miti na recreational parks. Miezi za sita na saba huwa ni misimu ya baridi