Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tutegemee kusikia dongo la kwenda kwa majiran au Africa kuhusu corona
mi nataka aongelee SGR phases zilizobaki! Hao majirani asiwaüe mileage! Halafu inakaa mkulu haivi na Uhuru...lazma kutakuwa kuna kitu nyuma ya pazia, hatujui!
 
Kiukweli kabisa wachina wametukosea sana kwenye lile daraja,nchi za wenzetu daraja kama lile wanalinyanyua kiasi cha kupita meli yoyote chini,ingekua hivyo kwa pale nyerere bridge ili upande wa pili ijengwe dry dock ya maana
Na hii pia ilikuwa design. The bridge has to be high enough to allow sea vessels to pass through there. I wonder if a sea tunnel is viable? 🤔View attachment 1462530
 
Baada ya kulia kwa siku tatu kuhusu apartments Nairobi, mkiulizwa picha za DAR, pia kumbe ziko, unaona vile hua mko na unafik lakini?

2411958_752DC106-9A89-49FB-99C6-99C2B9B6D5F7.jpeg
picha moja zile zingine mbona hukuziona au 😂😂😂😂 nikikwambia watu wanamiliki na kujenga nyumba za ndoto zao huamini au😂😂😂
 
USA will terminate its relationship with WHO



sijawah kuwakubali hawa jamaa hasa Trump, wanajikuta bila wao dunia haiwezi kuishi

wish Trump asirudi kweny urais in November

Sidhani kama atapita!
 
There is nothing that muna afford, ni sacrifice tu na kupumbazwa, madeni chini ya maji, now almost clocking 50% of the economy, ama hauna taarifa? Govt inafinya upande mwingine ili kujenga kwingineko,n.k., lakini hamna uwezo dhabiti, danganya toto jinga wewe.
Kwetu appartments co kipaumbele kwa ss, af ckia nikwambie, co km napinga ujenzi wa appartments, ni kwamba muda ukifika wananchi wakawa na uwezo wa ku afford kununua au kupanga kwenye hzo appartments ni lazima zijengwe, Magu aliwahi sema pale bungeni kwamba anataka kuitengeneza Tz ya uchumi wa kati ambayo hata ukiangalia sura za wananchi zinafanana fanana na uchumi wa kati, ss uchumi wa kati haufikiwi kwa kujenga appartments mana hapo utakuwa ndo kwnz unaongeza gepu na co kupunguza, na ndiyo maana tunafanya miradi ya kimkakati kuhakikisha wananchi wana uwezo wa kununua au kupanga kwenye hzo appartments zen zinajengwa tu, km tunaweza kufinance miradi yenye thamani ya mpk trilioni 7 ndo tushindwe kujenga appartments kweli?
 
Mbona nyote mnanipostia picha zile zile, Si mlisema DAr ni kubwa, wewe na ichoboy01 picha ni zile zile, sikujua Dar ni ndogo kiasi hiki
Nothing new in the big fishing village. Circles tu., ni angles., Dar is Tz, Tz is Dar(picha yote iko humu), outside Dar ni kujaribu kujikweza tu, nothing with meaningful value like Mombasa hivi,
 
Sidhani kama atapita!

Don't write him off. Almost no one outside US ever thought he could have won the election.

Trump has a lot of die-hard funs, most of whom are white supremacists. Huyo jamaa sio wa mchezo mchezo.

Atashinda😂😂
 
Back
Top Bottom