Yani mda mwingine nikisoma comment zako utafikiri ni mad men.. ivi watu walio takiwa wawe n hasira n serikali yao ni Tz au kunya ...mara kumi sisi tunapongeza mema yanayo fanyika...nyie mnapongeza kuibiwa kila siku kazi kulialia mitandaoni kama wanywa gongo ...wenzenu wanapika mawe mara hakuna umeme nchi zima mara mikopo kwa kila kitu , wenzenu wanalia uko tweeter ....ila ukija jamiforum utazani kenya ni panafraha km Tz kumbe nimambug yamejaa uku kujifarij...jaman wa Tz tuendele kuwafariji mana hawa jama nchi yao ni km neti inamatundu kila mahali lakini wanashindwa wafanyaje mana ile ni nchi yao, tuendele kuwa confort hawa watu mana nibala mara nzige, mikopo,mafuriko japo walituchek kipind cha lile daraj kuchukuliwa n mafuriko, njaa, kipindupind, ukosefu wa maji kama haya matatizo yangekuwa miradi kenya mngetisha sana soo endeleni kujifarij cyo vibaya