Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Britam
fcc92ad0cead94ab3daf598841fa7b4f.jpg
70a2b1e77170263df81db3225c7bea97.jpg
00d7b86b5eb7d29c5211ed7fb5a3e5b1.jpg
 
Off topic kidogo.

As susual, we all know life is not only short (Very short indeed) but also challenging, and our almighty God gave us a chance during the days of our lives to explore life into deepest.

Hivyo basi,
Kwa kijana kama Game over, Kadoda 11 na wengine ambao tunatumia Akili na nguvu zetu kujipatia riziki zetu popote duniani mradi tuko na pumzi,

Wikiendi kama hizi hatuna budi kufariji mili yetu ambayo kwa namna moja ama nyingine huchomeka na jua na kutaabika kutafuta riziki,
Game over ni kijana aliye chini ya Miaka 30 lakini amejitahidi kuthubutu kujaribu mambo mengi katika maisha japo bado malengo kufikiwa,

Pamoja na stress zitokanazo na Wanasiasa wapuuzi na Taifa stars Nyakati kama hizi Game over hujifariji kwa kujipatia bia maridhawa inayopikwa na Watanzania kwa ngano inayolimwa katika ardhi pendwa ya Tanzania.

Namna hii,


IMG_20170611_002418_505.JPG


Hebu na wewe niambie kile kinywaji pendwa unatumia
 
Off topic kidogo.

As susual, we all know life is not only short (Very short indeed) but also challenging, and our almighty God gave us a chance during the days of our lives to explore life into deepest.

Hivyo basi,
Kwa kijana kama Game over, Kadoda 11 na wengine ambao tunatumia Akili na nguvu zetu kujipatia riziki zetu popote duniani mradi tuko na pumzi,

Wikiendi kama hizi hatuna budi kufariji mili yetu ambayo kwa namna moja ama nyingine huchomeka na jua na kutaabika kutafuta riziki,
Game over ni kijana aliye chini ya Miaka 30 lakini amejitahidi kuthubutu kujaribu mambo mengi katika maisha japo bado malengo kufikiwa,

Pamoja na stress zitokanazo na Wanasiasa wapuuzi na Taifa stars Nyakati kama hizi Game over hujifariji kwa kujipatia bia maridhawa inayopikwa na Watanzania kwa ngano inayolimwa katika ardhi pendwa ya Tanzania.

Namna hii,


View attachment 522150

Hebu na wewe niambie kile kinywaji pendwa unatumia
wakenya wakiona mtz unakunywa tanzanian local beer yenye brand name ya nje ya nchi,huwa wanapata wivu sana.
 
Better matatu nakaa solo na kuskiza mziki wangu mosmos
ha haaa ujue MZEE WA IPHONE7 we ni mshamba mziki kasikilize kwako.....ule ni usafiri wa jamii nakatika jamii kuna watu tofauti tofauti wengine wana presha hawatakiwi kuwekewa mikelele kama ya usafiri wenu apo TZ tulishaachaga huo upumbavu.....

mnaangaika kupimp hizo matatu zenu kwa kimuonekano zimekaa vibaya sana
 
ha haaa ujue MZEE WA IPHONE7 we ni mshamba mziki kasikilize kwako.....ule ni usafiri wa jamii nakatika jamii kuna watu tofauti tofauti wengine wana presha hawatakiwi kuwekewa mikelele kama ya usafiri wenu apo TZ tulishaachaga huo upumbavu.....

mnaangaika kupimp hizo matatu zenu kwa kimuonekano zimekaa vibaya sana
Hewa
 
about yesterday evening: (kula bata kidogo).
me and my colleague went to kigamboni to make the most of our weekend.

i took these photos while we were crossing through the kigamboni bridge,the only femous longest cable-stayed bridge in east africa.

damn!...the view is breathtaking.
a3cc610babd4a0f923290a16a65fdd1c.jpg

03736b6651eca29e9ca2e46c560d3282.jpg

11777e6bc798827590459879602cec6b.jpg

7b60c2b26eb48d8e5011410159cfad24.jpg

ae4b120f8012f9ccec8d04c71f52a016.jpg

e63a2a9b6475a22cf07588f9ba627cfb.jpg

5118b3ff725475c6cbe99ad3188fdd6a.jpg


some kenyans wakiona picha kama hizi zinapostiwa na watz huwa wanapata wivu sana.
 

about yesterday evening: (kula bata kidogo).
me and my colleague went to kigamboni to make the most of our weekend.

i took these photos while we were crossing through the kigamboni bridge,the only femous longest cable-stayed bridge in east africa.

damn!...the view is breathtaking.
a3cc610babd4a0f923290a16a65fdd1c.jpg

03736b6651eca29e9ca2e46c560d3282.jpg

11777e6bc798827590459879602cec6b.jpg

7b60c2b26eb48d8e5011410159cfad24.jpg

ae4b120f8012f9ccec8d04c71f52a016.jpg

e63a2a9b6475a22cf07588f9ba627cfb.jpg

5118b3ff725475c6cbe99ad3188fdd6a.jpg


some kenyans wakiona picha kama hizi zinapostiwa na watz huwa wanapata wivu sana.
 
Back
Top Bottom