COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Britam
Oyster bay kuko developed hivo...duh......nitahama Nairobi nitafute personal house hapo.....Oysterbay!!! Bongo
View attachment 522051
magnifique!!Britam![]()
![]()
![]()
wakenya wakiona mtz unakunywa tanzanian local beer yenye brand name ya nje ya nchi,huwa wanapata wivu sana.Off topic kidogo.
As susual, we all know life is not only short (Very short indeed) but also challenging, and our almighty God gave us a chance during the days of our lives to explore life into deepest.
Hivyo basi,
Kwa kijana kama Game over, Kadoda 11 na wengine ambao tunatumia Akili na nguvu zetu kujipatia riziki zetu popote duniani mradi tuko na pumzi,
Wikiendi kama hizi hatuna budi kufariji mili yetu ambayo kwa namna moja ama nyingine huchomeka na jua na kutaabika kutafuta riziki,
Game over ni kijana aliye chini ya Miaka 30 lakini amejitahidi kuthubutu kujaribu mambo mengi katika maisha japo bado malengo kufikiwa,
Pamoja na stress zitokanazo na Wanasiasa wapuuzi na Taifa stars Nyakati kama hizi Game over hujifariji kwa kujipatia bia maridhawa inayopikwa na Watanzania kwa ngano inayolimwa katika ardhi pendwa ya Tanzania.
Namna hii,
View attachment 522150
Hebu na wewe niambie kile kinywaji pendwa unatumia

ha haaa ujue MZEE WA IPHONE7 we ni mshamba mziki kasikilize kwako.....ule ni usafiri wa jamii nakatika jamii kuna watu tofauti tofauti wengine wana presha hawatakiwi kuwekewa mikelele kama ya usafiri wenu apo TZ tulishaachaga huo upumbavu.....Better matatu nakaa solo na kuskiza mziki wangu mosmos
Castle lager ni ya south Africa.....Tusker is 100% Kenyan.....wakenya wakiona mtz unakunywa tanzanian local beer yenye brand name ya nje ya nchi,huwa wanapata wivu sana.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hewaha haaa ujue MZEE WA IPHONE7 we ni mshamba mziki kasikilize kwako.....ule ni usafiri wa jamii nakatika jamii kuna watu tofauti tofauti wengine wana presha hawatakiwi kuwekewa mikelele kama ya usafiri wenu apo TZ tulishaachaga huo upumbavu.....
mnaangaika kupimp hizo matatu zenu kwa kimuonekano zimekaa vibaya sana
haina shida,ukinywa zote zinalewesha.Castle lager ni ya south Africa.....Tusker is 100% Kenyan.....

But utakua unatajirisha m south Africa.. Enyewe south Africa imewaoa.kila kitu mnatoa huko hadi video mnashoot ukohaina shida,ukinywa zote zinalewesha.![]()
![]()
huo wivu sasa.But utakua unatajirisha m south Africa.. Enyewe south Africa imewaoa.kila kitu mnatoa huko hadi video mnashoot uko

Yani ata hujui meaning ya wivuhuo wivu sasa.![]()
![]()
![]()
hujui meaning ya wivu
But utakua unatajirisha...kila kitu mnatoa huko hadi video mnashoot uko
Tusker ni the most consumed beer in Kenya,Kenya Cane ni most popular spirit,Nakumatt is the most popular supermarket, Equity the most popular bank,KCB the biggest bank in assets,we buy and build Kenyahuo wivu sasa.![]()
![]()
![]()
Tusker ni the most consumed beer in Kenya,Kenya Cane ni most popular spirit,Nakumatt is the most popular supermarket, Equity the most popular bank,KCB the biggest bank in assets,we buy and build Kenyahuo wivu sasa.![]()
![]()
![]()
Povu hilo...umeulizwa?.Tusker ni the most consumed beer in Kenya,Kenya Cane ni most popular spirit,Nakumatt is the most popular supermarket, Equity the most popular bank,KCB the biggest bank in assets,we buy and build Kenya

Haha machungu ya nini?..kwani ulikunywa pesa yote hadi ya chakula ukitajirisha m south AfricaPovu hilo...umeulizwa?.![]()
![]()

about yesterday evening: (kula bata kidogo).
me and my colleague went to kigamboni to make the most of our weekend.
i took these photos while we were crossing through the kigamboni bridge,the only femous longest cable-stayed bridge in east africa.
damn!...the view is breathtaking.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
some kenyans wakiona picha kama hizi zinapostiwa na watz huwa wanapata wivu sana.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
safi wape fact hao wakenya washamba sana......Raha yake unafika haraka. Kuna tatizo kusimama kwa dakika 10-20? dunia nzima mabasi ya mjini watu wengi ni wale wanaosimama.
![]()
![]()