hii account wameitajataja sana Tanzania
Wanasikilizia maumivu.Yn wakenya wamepoa mpk hawana ladha humu ndani![]()
Picha mkuuujenzi unaanza bro tayari wanesafisha eneo na process zote zimekamilika
hapo bado mkopo wa locust na covid 19 ikiwasubiri 😂😂😂😂 na bado mkopo wa budget pia wamechukua huu mwaka mtamu sanaYn wakenya wamepoa mpk hawana ladha humu ndani![]()
👇👇👇 washamaliza kusafisha uwanja na ujenzi unaanza taratibu zote zishakamilikaPicha mkuu
mambo hayo 😂😂👇👇👇Nangoja overtaking, mumeimba sana! kutoka enzi ya mababu zenyu, baba, watoto, sasa ni nyie wajukuu na vitukuu vierehere, mumeona lami, flyovers, ka brt na vigorofa kadhaa hivi mnadhani ndio basi sasahaya subiri tuone., independent bodies work independently in Kenya, decisions ni zao without gov't interference., nyie subiri mtafika tu.
nafurahi mlivyo very "informed".
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu usije ukapaliwa mjombaTanzania ni DEAD STATE, died long time ago, now it is stinking. Kutoka mpate Uhuru hadi sasa mpo mpo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1457465
Non stop. Kunyaland endeleeeni kushangaaa.
.Mkuu hivi vina c mchezoAngalieni hiyo ni ndege aina Gani, ndio mnapofahamu kuwa Tanzania is doing LOW DENSITY, HIGH QAULITY, HIGH PRICED TOURIST PRODUCTS.
Wanaweza kuja watalii Wanne lakini waakacha Mkwanja wa watalii (Mass Tourists) 50,000.
Sent from my iPhone using JamiiForums

