Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

WakenyA kila kitu wanakopa na kusubili misaada kwani Hawana hela za ndani au Kenya kodi hawakusanyi???
Na hapo wanadraft mkopo mpya wa chorela hahahaha nyang'au mwaka wenu huu na ndio kwanza tupo mwezi may

Sent using Jamii Forums mobile app
waulize ile GDP hua wanajisifu nayo iko wapi ushuzi mtupu😂😂😂
 
WakenyA kila kitu wanakopa na kusubili misaada kwani Hawana hela za ndani au Kenya kodi hawakusanyi???
Na hapo wanadraft mkopo mpya wa chorela hahahaha nyang'au mwaka wenu huu na ndio kwanza tupo mwezi may

Sent using Jamii Forums mobile app

Kenya inaenda kudondoka kiuchumi. Tanzania inaenda kuovertake kenya very soon, kwa mwendo huu sidhani kama Kenya itapona.

Imefika sehemu hata hela ndogo ya kitu fulani inawalazimu kukopa, hii inamaana wanachokusanya chote wanalipa madeni na nyingine inaingia mifukoni mwa watu.

Usitarajie mradi wwte mkubwa ambao utakaofanywa na Kenya kwenye kipindi hich maana hakuna mkopo watakaogewa, hii mikopo ya ajabu wanayopewa sasa ni ile ya huruma ya majanga.

China iliona hilo mapema ikabidi wajitoe kufadhili Reli yao ya kaskazini (North corridor), na kama China wamejitoa kwenye hilo basi hakuna Nchi inayoweza fadhili hyo white elephant maana TZ tu tulikosa mpaka tukaanza na pesa zetu ndo wakaja, je Kenya mnaweza anza na pesa zenu?? Ikiwa hata hela ya kupambana na locust mnakopa🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
wakenya mume wenu tayar kashasema nyinyi munasubiri nini😂😂😂👇👇👇






kumbe wamemsikia tayari 😂😂😂👇👇


Nimecheka sana. Jamaaa hawana wanachoweza kufanya wenyewe. Sijui elimu yao inawajenga kwenye nini?
 
GDP gani hadi kufungua league mpaka FIFA wawape msaada yaani hata Burundi hapo wamewashinda Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee hawa jamaa wanapoelekea hadi mishahara ya watumishi wataomba msaada au mkopo🤣🤣

Natamani siku ifike CRDB au Benki yyte ya kitanzania tuanze kutoa mikopo Africa, na sisi tuanze kuweka terms zetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

waliifanyaje siri wakat hio mikopo tunaijua.. na walisain hadharan mbele ya waandishi wa habari?

hizo ni siasa takataka, itawafumbaza tu wasioelewa

kama ulikuwa hujui, WB na IMF kwamwe hawapendi nchi za africa kutekeleza miradi ya kimkakati ndo mana wanatukazia sana, wanasingizia tuna hali mbaya kiuchumi, mfano WB walikataa kutupa mkopo wa SGR, Nyerere HPP nao waliukataa.. juzijuzi tumesikia wameblock kutoa mkopo kwa mkandaras mmoja wa ujenzi wa hii plant.. bahati nzuri AfDB wapo begabega kutusaidia kujenga miradi ya kimkakati
 
tapatalk_1580569026826-jpeg.149470


Dc2JABiW0AAUMk_
 
waliifanyaje siri wakat hio mikopo tunaijua.. na walisain hadharan mbele ya waandishi wa habari?

hizo ni siasa takataka, itawafumbaza tu wasioelewa

kama ulikuwa hujui, WB na IMF kwamwe hawapendi nchi za africa kutekeleza miradi ya kimkakati ndo mana wanatukazia sana, wanasingizia tuna hali mbaya kiuchumi, mfano WB walikataa kutupa mkopo wa SGR, Nyerere HPP nao waliukataa.. juzijuzi tumesikia wameblock kutoa mkopo kwa mkandaras mmoja wa ujenzi wa hii plant.. bahati nzuri AfDB wapo begabega kutusaidia kujenga miradi ya kimkakati
Msamehe bure,

Jukwaa la siasa ndio source ya habari zake.
 
Back
Top Bottom