Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waafrika tumeamua kuurudia huu upande ngj muone matokeo yake, huu upande ndio kiboko ya wazungu yn magonjwa yote ya kutengenezwa maabara hapo ndio kiboko yake, hakuna cha Ukimwi wala takataka gn tiba asili ndiyo kiboko yake, subirini muone

Dawa ya corona yathibitishwa Tanzania, inaponya na kansa “Watu hawatokufa tena” (+video)View attachment 1455399

Walitupumbaza hawa washenzi tukasahau kufanya research zetu wenyewe, Dr Sebi alipata mafanikio sana kwenye kutibu magonjwa sugu US akaitumia WHO kumpinga akagonga mwamba.. Kilichojili nikuuawa kwa Dr Sebi, what a shame sasa ni muda wakuweka nguvu kwenye tafiti zetu kama Mh Raisi alivyo agiza.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Walitupumbaza hawa washenzi tukasahau kufanya research zetu wenyewe, Dr Sebi alipata mafanikio sana kwenye kutibu magonjwa sugu US akaitumia WHO kumpinga akagonga mwamba.. Kilichojili nikuuawa kwa Dr Sebi, what a shame sasa ni muda wakuweka nguvu kwenye tafiti zetu kama Mh Raisi alivyo agiza.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Good news ni kwamba ile dawa ya NIMRI iliyo tengenezwa Tanzania inafanya vizuri kuliko ile ya Madagascar

Wacha guinea ziendelee kusubiri dawa.
 
Walitupumbaza hawa washenzi tukasahau kufanya research zetu wenyewe, Dr Sebi alipata mafanikio sana kwenye kutibu magonjwa sugu US akaitumia WHO kumpinga akagonga mwamba.. Kilichojili nikuuawa kwa Dr Sebi, what a shame sasa ni muda wakuweka nguvu kwenye tafiti zetu kama Mh Raisi alivyo agiza.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wafuasi wa Dr. Sebi wapo humu Jf yn km watu watakuwa na imani nao kwakweli haya magonjwa km ukimwi, cancer, kisukari ni magonjwa madogo tu, me mwenyewe ni shahidi ktk hilo.
 
So, does Kenya have those infrastructures? If not, then it's LDC

There is only one country in EA that is not LDC. And it's not Tanzania.
As you build your first flyover, Kenya is counting not less than 50.. Pure LDC.
Enda ubishane na Burundi.
 
There is only one country in EA that is not LDC. And it's not Tanzania.
As you build your first flyover, Kenya is counting not less than 50.. Pure LDC.
Enda ubishane na Burundi.
Hiyo Burundi unayoidharau kuna watu wenye maisha mazuri kuliko ukoo wenu wote

Tanzania unayoita ldc ina asilimia ndogo ya masikini ukanda huu

Hiyo Kunyaland midofinga kantri ina idadi kubwa ya masikini ukanda wote huu

 
There is only one country in EA that is not LDC. And it's not Tanzania.
As you build your first flyover, Kenya is counting not less than 50.. Pure LDC.
Enda ubishane na Burundi.
Kuna sehemu nimetaja flyover apo, mm nmekwambia nioneshe three level interchange au hata 4 level km unayo usiseme flyover tu, cable bridges, electric train ili niamini ww co ldc but km huna basi unajidanganya
 
BTW nafikiri JPM anaenda kuzindua Dodoma bus stand!
Usiku panawaka balaa
20200511_234630.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom