Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,767
- 2,763
Aseee!Hii imetokea kwa familia aliyoolewa mama yangu Mkubwa Kilimanjaro kule Kikweni.Kila mwezi wa 6 ilikua anakufa mtoto wa kiume,naona wamepoza sasa,ilikua hatari
Aseee!Hii imetokea kwa familia aliyoolewa mama yangu Mkubwa Kilimanjaro kule Kikweni.Kila mwezi wa 6 ilikua anakufa mtoto wa kiume,naona wamepoza sasa,ilikua hatari
Ni mawazo ya kinguruwenguruwe!!Umesahau kuweka neno "from chadema" akili zako na za zungu tofauti yake ni kwamba yeye analipwa kwa kila upumbavu anaotamka na wewe unamsaidia kuusambaza.
usisahau na zile za waisrael zilizoua watu kule palestina hivi karibuni.Hata zile Saudi Arabia anazoua nazo watu kule Yemen zina mambo ya kishirikina?
Vipi kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Congo, Sudan, iliyotumika kumshambulia Tundu Lisu, iliyoua Aqwilina?
Hebu tuambie kwanini umeona hiyo silaha ina mambo ya kishirikina
Bila Shaka nilisema mpe kileo masikini ili asahau shida zake kwa muda tu. Sasa narudia pombe si nzuri na nimbaya kwa maamuzi haswa kwa hawa wafuatao, (a) walinda usalam(b) waamuzi(c) wafalme na wakuu wa desturi na Mila. Pombe ni mbaya.Hayasifii bali yanaruhusu unywaji wa kileo.
Kum 12:20-21 SUV
Kum 12:20-21 BWANA, Mungu wako, atakapoongeza mpaka wako, kama alivyokuahidi, nawe utakaposema, Nataka kula nyama, kwa kuwa roho yako yatamani kula nyama; waweza kula nyama, kwa kufuata yote inayotamani roho yako. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitw
BWANA, Mungu wako, atakapoongeza mpaka wako, kama alivyokuahidi, nawe utakaposema, Nataka kula nyama, kwa kuwa roho yako yatamani kula nyama; waweza kula nyama, kwa kufuata yote inayotamani roho yako.bible.com
BWANA, Mungu wako, atakapoongeza mpaka wako, kama alivyokuahidi, nawe utakaposema, Nataka kula nyama, kwa kuwa roho yako yatamani kula nyama; waweza kula nyama, kwa kufuata yote inayotamani roho yako. Na mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako, apaweke jina lake, pakiwa mbali nawe mno, ndipo utakapochinja katika kundi lako la ng’ombe na kondoo alilokupa BWANA kama nilivyokuagiza, nawe utakula ndani ya malango yako, kwa kufuata yote inayotamani roho yako.
1 Tim 3:2-3, 6 SUV
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha; Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.1 Tim 3:2-6 Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwa
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtubible.com
Kum 14:22-26 SUV
Kum 14:22-26 Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitw
Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka yabible.com
Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Nawe utakula mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng’ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha BWANA, Mungu wako, daima. Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia BWANA, Mungu wako; ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako; na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng’ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za BWANA, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;
CC Mshana Jr
Hizo silaha zikishatumika huko ndio hukusanywa na kuja kuuzwa mtumba Afrika kwenye 'black market' na kuingizwa lwenye vikundi vya kigaidi, makundi ya wahuni wauza unga, wafanya magendo, majeshi ya kukodishwa(mercenaries) nknkusisahau na zile za waisrael zilizoua watu kule palestina hivi karibuni.
Nadhani tumeaswa kuwa na KIASI kwenye kila jambo na kwenye kila kitu.. Chochote kinachozidi kiasi si kizuri hata chakulaBila Shaka nilisema mpe kileo masikini ili asahau shida zake kwa muda tu. Sasa narudia pombe si nzuri na nimbaya kwa maamuzi haswa kwa hawa wafuatao, (a) walinda usalam(b) waamuzi(c) wafalme na wakuu wa desturi na Mila. Pombe ni mbaya.
Nimekuelewa vizuri. Kwa ufupi maandiko yanatoa taathari kwa swala la pombe na si kusifia, swali langu halina jibu ndani ya maandiko matakatifu; yanayo sifia pombe eti!.Nadhani tumeaswa kuwa na KIASI kwenye kila jambo na kwenye kila kitu.. Chochote kinachozidi kiasi si kizuri hata chakula
Hakuna iliposifiwa kwa maana ya kuipa daraja la sifa husikaNimekuelewa vizuri. Kwa ufupi maandiko yanatoa taathari kwa swala la pombe na si kusifia, swali langu halina jibu ndani ya maandiko matakatifu; yanayo sifia pombe eti!.
Safi bro Jr.Hakuna iliposifiwa kwa maana ya kuipa daraja la sifa husika
Katika makosa ninayo mwomba MUNGU ni hilo la kutokusahau kumtukuza na kumwomba, heri nisahau kula usiku lakini nikumbuke kusali na kushukuru kwa yote anayo nitendea. Asante mtumishi kwa kunikumbusha Ubarikiwe.nikutakie usiku mwema wansawa ... Usisahau na kusali pia... Lishike sana NENO.. Mshike sana Mungu..!
Usiku una mengi... Malaika mlinzi awe nawe..!Katika makosa ninayo mwomba MUNGU ni hilo la kutokusahau kumtukuza na kumwomba, heri nisahau kula usiku lakini nikumbuke kusali na kushukuru kwa yote anayo nitendea. Asante mtumishi kwa kunikumbusha Ubarikiwe.
AmenUsiku una mengi... Malaika mlinzi awe nawe..!
Venue: MLT 2Occult Sciences 101
Lecturer: Mshana Jr
Academic Year:2021/2022
Somo limeeleweka
No, just kiddingHahahaha.. Uko serious?
Azarel naona unahoji unatoa maelezo unafafanua unafikia conclusion ya kwamba HUAMINI lakini baadae unakuja na mwaswali huoni kwamba unajichanganya?Hivi hata Wazungu wanaonunua silaha kwenye Maghala (Arsenal) zao pia wanazingatia hili au wananunua wakizingatia mambo ya Kafara au kiroho?
SIAMINI HILI...!!!
Silaha ni Object iliyotengenezwa kwa materials flani like Aluminium, Iron etc. kwa kazi mbili tu
1) Kujeruhi
2) Kuua
Na inauwa kwa kukusudia kabisa au kwa uzembe.
That's all about....!!!
SWALI: Kama ni hizi bunduki za kuuwa wanyama kama mbogo, Tembo n.k zinabeba Makafara pia baada ya kuuwa wanyama?
Kwa Case ya Alex Koroso na S'body Mushi ni ULEVI ndio chanzo cha vifo vyao
Una mfano wa Silaha hiyo?Nimeelewa ndio maana nikauliza.
Kwani silaha zilizoondoa roho za watu ni hiyo tu?
Kuna silaha unakuta imeua zaidi ya watu 20 lakini haihusishwi na mambo ya kishirikina. Kwanini iwe hii tu?