Achana na kujibu watoto, unajua kuna watu wanaishi kama Kuku ili kusindikiza wenye maarifaNdio maana nikasema hukusoma na kuelewa nilichoandika... Mwisho wa mada nilimalizia na kifungu hiki
Nimeandika mada hii kwa mtazamo wa kiroho.. Wanaoona ni tukio la kawaida wasione ni kituko kuwaza tofauti na wao..!