Rais Samia Suluhu Hassan nianze kwa kukupongeza pia kukupa pole na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa.
Tunamshukuri Mungu kwa kutupa Rais ambaye amefanikiwa kuliunganisha Taifa ndani ya kipindi kifupi Mungu akubariki mama yetu. Neno haki halijawahi kuachwa kwenye kinywa chako, ukiamini haki huinua Taifa.
Rais Samia ni ombi letu Sasa kwako sisi walimu wa wilaya ya Chamwino ilipo ofisi yako(ikulu)tuna kiongozi wetu ambaye ni afisa elimu wilaya(msingi) Zainabu Kishegwe anatunyanyasa Sana.
Ni katili ni dikteta hana msaada kabisa sio kwa walimu wa kawaida hata viongozi, ana kundi lake la watu wachache sana anaofanya kazi nao na hasa wale ambao wanahusiana na mambo ya fedha.
Nimeona nikueleze wewe mwajili wetu moja kwa moja kwasababu amejitengenezea connection pale Tamisemi hagusiki lakini sisi walimu huku chini tunateseka na udikteta wake tangu amefika wilaya hii akitokea Kongwa.
Walimu hatuna amani Rais tunaomba ufanye uchunguzi ikiwezekana kuhoji mwalimu mmoja mmoja waratibu utapata ukweli wote sisi tunaami wewe rais wetu siku zote unasimamia haki tunaamini utatusaidia kwa hili.
Rais Samia tunafanya kazi kwenye mazingira magumu Sana huku vijijini lakini tumeridhika na tunachapa kazi kulinda heshima yako kwani kazi yetu ni ya wito tunaamini utalishughurikia swala hili mh Rais tukutakie mapumziko mema ya pasaka.
Asalaam aleikum
Tunamshukuri Mungu kwa kutupa Rais ambaye amefanikiwa kuliunganisha Taifa ndani ya kipindi kifupi Mungu akubariki mama yetu. Neno haki halijawahi kuachwa kwenye kinywa chako, ukiamini haki huinua Taifa.
Rais Samia ni ombi letu Sasa kwako sisi walimu wa wilaya ya Chamwino ilipo ofisi yako(ikulu)tuna kiongozi wetu ambaye ni afisa elimu wilaya(msingi) Zainabu Kishegwe anatunyanyasa Sana.
Ni katili ni dikteta hana msaada kabisa sio kwa walimu wa kawaida hata viongozi, ana kundi lake la watu wachache sana anaofanya kazi nao na hasa wale ambao wanahusiana na mambo ya fedha.
Nimeona nikueleze wewe mwajili wetu moja kwa moja kwasababu amejitengenezea connection pale Tamisemi hagusiki lakini sisi walimu huku chini tunateseka na udikteta wake tangu amefika wilaya hii akitokea Kongwa.
Walimu hatuna amani Rais tunaomba ufanye uchunguzi ikiwezekana kuhoji mwalimu mmoja mmoja waratibu utapata ukweli wote sisi tunaami wewe rais wetu siku zote unasimamia haki tunaamini utatusaidia kwa hili.
Rais Samia tunafanya kazi kwenye mazingira magumu Sana huku vijijini lakini tumeridhika na tunachapa kazi kulinda heshima yako kwani kazi yetu ni ya wito tunaamini utalishughurikia swala hili mh Rais tukutakie mapumziko mema ya pasaka.
Asalaam aleikum