Mugo"The Great"
JF-Expert Member
- Oct 7, 2007
- 262
- 25
ha ha haha hahha haha,
Kikwete ameshindwa kuvunja baraza lake la mawaziri.
Lowasa amejiuzulu na hivyo kusababisha baraza la mawaziri kuvunjwa. In the essence, Kikwete hakuvunja baraza la mawaziri, ninajiandaa kumpa Lowasa hii 84 cents!
Maoni: 70% iende kwa Mwakyembe na timu yake; 30% iende kwa watu waliokataa kumtetea EL