BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Wana Jf mmeona mchango wa wabunge ulivyo kuwa na kuzaa matunda..naomba tujikite kuingiza vifaa bungeni 2010. Tukiwa na bunge lenye watu wenye uwezo na wazalendo serikali haitacheza shere, haitafurukuta. Kwa kuanzia naomba ma wapiganaji kama akin Tundu Lissu, Mama Kijo Bisimba na wengi muwajuao wanaopigania haki za wananchi on daily basis..2010 waingie bungeni kwa wingi kuwapa nguvu akina Zitto, Slaa na wenzao na hata wale wa "kijani mpauko" ambao wameamua kulitumikia taifa pamoja na vitisho vilivyopo.
Please JK..let the next PM be Mr. Magufuli..he will do you a good job.
Magufuli ni fisadi mwingine huyo hastahili hata kupewa ujumbe wa nyumba 10. Lile sakata la kuuza nyumba za serikali kwa bei ya bure linatosha kabisa kumfanya JK amweke huyu pembeni maana limeiingiza serikali gharama kubwa sana za kuwaweka watendaji wake na familia zao mahotelini kwa muda mrefu.